nafahamu mnajua application nyingi za kuchat kwa simu ila i think hii ni nzuri kwa watu wa simu ambazo sio smartphone na wanataka kuchat at the same time kubrowse kutumia njia hii
Kwanza uwe umelogin facebook katika opera yako then click link hii
Hii huduma haijalish unatumia simu gan as long as una operamini itafanyakazi
Kama hutaona kitu ina maana hamna mtu ambaye yupo online. Kama mtu yupo online utaona picha kidoti cha kijani na jina la huyo mtu so we click then utaona sehemu ya kuchat
Ungekua makini maneno yangu ya mwisho ungeelewa. Kuna kitu kinaitwa bookmarks katika operamini so ad as bookmark ili next time uopen kutokea kwenye simu yako