Jayden News
Member
- Aug 28, 2022
- 29
- 94
Ingia YouTube msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Misungwi Mh Charles Kitwangwa akiongelea hii kitu tozo, ameongea mambo ya msingi sana na kuitaka mamlaka husika ikachukue ushauri toka kwake kuhusiana na hii issue ya TOZO.
Ooh! ni KitwangaIngia YouTube msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Misungwi Mh Charles Kitwangwa akiongelea hii kitu tozo, ameongea mambo ya msingi sana na kuitaka mamlaka husika ikachukue ushauri toka kwake kuhusiana na hii issue ya TOZO.
na sharubu zake kama kambare. Yani huyu mwamba inaelekea alipokuwa anasoma alikuwa mtu wa kukariri topic moja tu. Ikitokea kwenye mtihani maswali ya topic aliyokariri hayajatoka basi anajibu kwa kutumia kile kile alichokariri hata kama hakiendani.