Chapa tozo kila kona!

Chapa tozo kila kona!

Jayden News

Member
Joined
Aug 28, 2022
Posts
29
Reaction score
94
IMG_3564.jpg
 
na sharubu zake kama kambare. Yani huyu mwamba inaelekea alipokuwa anasoma alikuwa mtu wa kukariri topic moja tu. Ikitokea kwenye mtihani maswali ya topic aliyokariri hayajatoka basi anajibu kwa kutumia kile kile alichokariri hata kama hakiendani.

Kwa sasa amekariri tozo tu kwahiyo akili yake ina jibu moja tu, tozo. Akiulizwa leo dawa ya ukimwi nini atakwambia tozo.
 
Back
Top Bottom