O omereo Member Joined Dec 29, 2018 Posts 54 Reaction score 80 May 26, 2019 #1 naomba kuuliza hii channel ipo au mpaka wakati wa fiesta mbona bado tunakatwa 3000 lakini haionekani
O omereo Member Joined Dec 29, 2018 Posts 54 Reaction score 80 May 26, 2019 Thread starter #2 namaanisha clouds plus jamani...uuwi
chenjichenji JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 1,773 Reaction score 3,538 May 26, 2019 #3 omereo said: naomba kuuliza hii channel ipo au mpaka wakati wa fiesta mbona bado tunakatwa 3000 lakini haionekani Click to expand... Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?.
omereo said: naomba kuuliza hii channel ipo au mpaka wakati wa fiesta mbona bado tunakatwa 3000 lakini haionekani Click to expand... Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?.
Waziri wa Kaskazini JF-Expert Member Joined Dec 12, 2015 Posts 8,668 Reaction score 19,184 May 26, 2019 #4
O omereo Member Joined Dec 29, 2018 Posts 54 Reaction score 80 May 26, 2019 Thread starter #5 chenjichenji said: Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?. Click to expand... kuna huduma ya clouds adds on kwenye *150*50*5#
chenjichenji said: Kwani unakatwa hiyo buku 3 au unajiunga mwenyewe!?. Click to expand... kuna huduma ya clouds adds on kwenye *150*50*5#
B Babuu Rogger JF-Expert Member Joined Nov 16, 2011 Posts 1,532 Reaction score 1,122 May 26, 2019 #6 Jamaa si wameshapewa kibali cha kuonesha channel za ndani bure??? au bado hawajaanza maana hata hiyo channel ni bure sasa hivi?
Jamaa si wameshapewa kibali cha kuonesha channel za ndani bure??? au bado hawajaanza maana hata hiyo channel ni bure sasa hivi?
O omereo Member Joined Dec 29, 2018 Posts 54 Reaction score 80 May 26, 2019 Thread starter #7 Babuu Rogger said: Jamaa si wameshapewa kibali cha kuonesha channel za ndani bure??? au bado hawajaanza maana hata hiyo channel ni bure sasa hivi? Click to expand... waanze wapi ndg labda wanajenga mitambo kwanza.
Babuu Rogger said: Jamaa si wameshapewa kibali cha kuonesha channel za ndani bure??? au bado hawajaanza maana hata hiyo channel ni bure sasa hivi? Click to expand... waanze wapi ndg labda wanajenga mitambo kwanza.
popie JF-Expert Member Joined May 28, 2016 Posts 801 Reaction score 577 May 27, 2019 #8 Hata ITV haipo pia hadi waweke mitambo mipya kama vipi hamia ving'amuzi vingine utapata hiyo channel