Changudoa Morogoro hatari!!!!


Hakujifunza toka kwa Adam Malima!? mwenzie pamoja na kuwa na SMG na pistol bado walimliza...
 
pole mkuu, umate umate bila kujipanga utawatesa sana
 

aahh..ndugu,wambiwa ukienda vitani usiogope mlio wa risasi!!!!
 

Jamaa yako anaweza kutueleza shepu ya huyo mdudu? nataka nimsaidie maana mimi nawafahamu baadhi yao.
 
Kaumba....


Pia wanapatikana Bar moja hivi pale Msamvu maarufu kwa jina la ITIGI. Lakini hawa ni wale wa Buguruni type yaani wa buku buku tu fasta fasta!!

NB:Usini-qoute mimi pia nimeambiwa tu na watu!!
 
Pia wanapatikana Bar moja hivi pale Msamvu maarufu kwa jina la ITIGI. Lakini hawa ni wale wa Buguruni type yaani wa buku buku tu fasta fasta!!

NB:Usini-qoute mimi pia nimeambiwa tu na watu!!
Ipo uelekeo gani hii?
 
Ipo uelekeo gani hii?


Kama unatokea Dar es salaam kabla haujafika geti la kutokea stand kuu ya msamvu mkono wako wa kushoto pale yanapopaki magali makubwa ya masafa marefu!!Ukifika maeneo hayo wewe ulizia tu au ukifika mida ya kuanzia saa 2 usiku wala hupati shida maana huwa kuna bakurutu inapigwa pale kila siku!!
 

Ha ha ha haaah!! Kumbe hapo.....!! Wana nafuu kuliko wale wa Kahumba?
 
ha

Moro ndo makao makuu ya vyangu doa, wanaweka dawa za kulevya kwenye nyonyo, shimgoni na hata sehemu nyeti. Kama wewe ni mroho wa rambaramba hata uwe mrokole utalala wiki nzima umelewa na kufagiliwa kila kitu


Duh...kama hata kwa changu mtu unathubutu kwenda umbali huo...basi hata ukiibiwa unastahili...unamzoa changu ametoka kwa mteja mwingine hata muda wa kuosha huwa hawana, na wewe unathubutu kutumia ulimi wako ? hata kinyaa hamna ? ptuuuuu.....

.......MUIBIWE TU.......



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…