wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Na unajua Ni kwanini hizo Gari za Mjerumani Ni Bei ndogo kuliko za mjapan?Go figure 😄😄Tunakosa sana fursa. Kuna nchi ndogo na za kishamba tu watu wanaendesha ndinga za Europe kinyama tu. Tanzania tuna ushamba sana yaani kila mtu IST, Harrier, Rumion, Rav4, Hillux, Prado, Corolla, Mark x, Premio, Vanguard. Yaani ni kero. Ukiingia mtandaoni leo gari kali za Europe ni bei chee sana kuliko hizo za Kijapan ambazo nyingi ni mabati matupu, hazitulii barabarani, lakini tunalazimika wote kununua hizo za Japan. Hivi unajua BWM kali kabisa mtandaoni used unapata kwa bei rahisi kuliko Vanguard au Rav4 Miss Tanzania? Likewise, Audi, Volvo, VW Tiguan, VW Tuareg, Ford Escape, Benz nyingi ni bei affordable kuliko Toyota. Botswana tu hapo watu wako na ndinga kibao za Europe, kwa Tanzania utajuta, spea hakuna!
Mambo ya Germany Engineering hayo, pambana mkuu.Mwanzo Kabisa ilikua inapasua pipe, yaani ikichemsha maji yantokea kwenye pipe ikiziba inatoboa sehemu nyingine tukabadilisha thermostat, water pump ikatulia kidogo nimeitumia kama miezi miwili Juzi Tar 18 natoka asubuhi nimeikagua kama kawaida maji yapo sawa natoka napandisha kimlima kidogo naona inakosa nguvu, nikamaliza mlima nikaweka pembeni kufungua bonet mvuke unatoka.
Baada ya Hapo Ikakosa Nguvu Kabisa, Ukiwasha Kuondoka Haiondoki. Kuipeleka Garage ilibidi kuivuta.
740i hapa mjini (wese lake tu) lazima uikimbie tu mzee 😄😄740i kisha nikaja 330i nikatulia na 323i
Wauza ma spare ya kukata Ni makumar Sana wale,sitakagi hata kuwasikia.Offer nilizokuwa napewa ni za laki 2 wengine laki 4 ila ukienda kuulizia bei kwao ni 900K bila gearbox yake. Ukiweka na gearbox wanaongeza laki 4.5 juu 😂😂😂 nikitazama engine ni nzima haijawahi kufunguliwa gari iliungua na moto yote ikapona engine tu. Maana moto haukufika kuiharibu kabisa mbele.
Nilikaza moyo tu ikafikia wakati nilikata tamaa njaa ilinikamata vibaya mno. Mungu si Rashidi sina hili wala lile napigiwa simu kuna mafundi wanakuja kukagua.
Duh isijekuwa cylinder head gasket.Muungurumo Upo Sawa, Ndiyo InaMisi na Ukitaka kuondoka ina zima Kabisa.
Extrovert unatajwa huku....Kuna jamaa ana toyota apa, dashboard inawaka nyekundu za kila aina, mwanzo nlikuwa najua ni urembo
Zote E90 bro. E46 sijawahi miliki za washkaji tu labda.Tuache hiyo 740i...,Hizi 330i na 323i ni za e46 au e90?
Peleka kwa OBD2 hapo hauna ujanja.Muungurumo Upo Sawa, Ndiyo InaMisi na Ukitaka kuondoka ina zima Kabisa.
Asee hii no kweli kabisa. Kuna Ist moja hizi new model niliiona imegonga punda barabara ya Mombo asee imeisha huwezi kuamini. Mbele hapo hakuna kitu na ma airbag imefua yote mawili ni balaa.Sijajua kuna nini kilichojificha kwenye punda..
Ukimgonga mtu anaweza kudhani umegonga mti au umegonga trailer kwa nyuma..
323i unapata anything Below 8km/L?Zote E90 bro. E46 sijawahi miliki za washkaji tu labda.
Fundi Pia Aliniambia inawezekana cylinder head gasket imepinda.Duh isijekuwa cylinder head gasket.
Spark plug zina hali gani?
Muonekano wake, at least ndio kitu cha kwanza kuangalia kama engine inaingiza maji ndani.,
Hapa Sijaelewa Kiongozi.Peleka kwa OBD2 hapo hauna ujanja.
Mkuu hii ipo kwenye gar zote ama? Natesekaga sana asubuhi asee.Kuhusu Ukungu button ya defrost Kwenye Gari huifahamu mpaka ufute kioo kwa ndani?
Gari zina sura mbaya kishenzi angalau hybrid. [emoji1][emoji1][emoji1]Hongera mzee. Ila kwa usawa huu pesa ilivyokuwa ngumu sitamani tena hizi rare cars. Nitakomaa na tako la nyani tu.
Ndio mkuu,ingia tu Google andika Defrost button utaona alama ya hio button mkuu.Mkuu hii ipo kwenye gar zote ama? Natesekaga sana asubuhi asee.
Ushuru wa bandarini pale kibongo bongo serikali inatukatisha tamaa kuagiza mizigo ya maana mkuuHivi kuna siri gani? Yani kwann wenzetu wameweza sisi tushindwe?
Inakaa kwa wapi kwenye wish. Mkuu nasumbuka sana asubuhiJifunze kutumia Defrost.
Usingepata madhila kama hayo uliyopata kwenye hiyo Wingroad yako.
Ahsante sanaNdio mkuu,ingia tu Google andika Defrost button utaona alama ya hio button mkuu.