Changamoto za kumiliki gari "unique"

Na unajua Ni kwanini hizo Gari za Mjerumani Ni Bei ndogo kuliko za mjapan?Go figure 😄😄
 
Mambo ya Germany Engineering hayo, pambana mkuu.
 
Wauza ma spare ya kukata Ni makumar Sana wale,sitakagi hata kuwasikia.
 
Sijajua kuna nini kilichojificha kwenye punda..
Ukimgonga mtu anaweza kudhani umegonga mti au umegonga trailer kwa nyuma..
Asee hii no kweli kabisa. Kuna Ist moja hizi new model niliiona imegonga punda barabara ya Mombo asee imeisha huwezi kuamini. Mbele hapo hakuna kitu na ma airbag imefua yote mawili ni balaa.
 
Duh isijekuwa cylinder head gasket.

Spark plug zina hali gani?

Muonekano wake, at least ndio kitu cha kwanza kuangalia kama engine inaingiza maji ndani.,
Fundi Pia Aliniambia inawezekana cylinder head gasket imepinda.

spark plug mbili zilikuwa za zamani zingine zilikuwa mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…