Marumeso JF-Expert Member Joined Oct 3, 2009 Posts 1,408 Reaction score 1,332 Dec 31, 2015 #21 Hapo Chambo na yule mama Mapunjo ndo wamekuwa maKM wa muda mrefu zaidi japo chambo kuna wakati alichoma mahindi kidogo
Hapo Chambo na yule mama Mapunjo ndo wamekuwa maKM wa muda mrefu zaidi japo chambo kuna wakati alichoma mahindi kidogo
dolevaby JF-Expert Member Joined Aug 25, 2013 Posts 12,955 Reaction score 9,531 Dec 31, 2015 #22 nalb said: Kweli Magu anafanya Kweli, baada ya mwaka tunaweza kuanza kuona nchi ya ahadi kwa mbali Click to expand... Pole ndg
nalb said: Kweli Magu anafanya Kweli, baada ya mwaka tunaweza kuanza kuona nchi ya ahadi kwa mbali Click to expand... Pole ndg
Tabutupu JF-Expert Member Joined Nov 26, 2010 Posts 13,262 Reaction score 18,711 Dec 31, 2015 #23 Daudi Mchambuzi said: Uteuzi wa Maswi umefuta matumaini Click to expand... Maswi ni Kaimu Naibu kamishna.. anashikilia hiyo nafasi wakati naibu kamishna anatafutwa
Daudi Mchambuzi said: Uteuzi wa Maswi umefuta matumaini Click to expand... Maswi ni Kaimu Naibu kamishna.. anashikilia hiyo nafasi wakati naibu kamishna anatafutwa
Issa SLuu JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 2,303 Reaction score 1,804 Dec 31, 2015 #24 tofali said: Atakua km sio chambo mwenyewe...au mtoto wake au binamu yake au bi mdogo hahaha cheo dhamana ..wache wengine wachukue Click to expand... Aisee jinsi alivyomjibu kwa jazba
tofali said: Atakua km sio chambo mwenyewe...au mtoto wake au binamu yake au bi mdogo hahaha cheo dhamana ..wache wengine wachukue Click to expand... Aisee jinsi alivyomjibu kwa jazba
B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,741 Reaction score 14,940 Dec 31, 2015 #25 Tabutupu said: Maswi ni Kaimu Naibu kamishna.. anashikilia hiyo nafasi wakati naibu kamishna anatafutwa Click to expand... Kama Maswi ni kaimu Naibu Kamishna, nani kamishna wa TRA aliyechukua nafasi ya Mpango?
Tabutupu said: Maswi ni Kaimu Naibu kamishna.. anashikilia hiyo nafasi wakati naibu kamishna anatafutwa Click to expand... Kama Maswi ni kaimu Naibu Kamishna, nani kamishna wa TRA aliyechukua nafasi ya Mpango?
mapinduzi daima JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 1,724 Reaction score 2,709 Dec 31, 2015 #26 Ni Alfayo Kidato Alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi