Chama cha Walimu (CWT) mbona kimya?

Chama cha Walimu (CWT) mbona kimya?

MWANAWILE

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
277
Reaction score
135
Wakuu,

Chama cha Walimu (CWT) katikati ya mwezi Oktoba 2016 kupitia Rais wake Gration Mukoba ilitoa siku 15 kwa serikali iwe imelipa madeni mbalimbali ya walimu wanayodai kama kupandishwa vyeo, likizo na kulipwa malimbikizo ya mishahara vinginevyo watafanya maamuzi magumu.

Siku 15 zilizotolewa na Ndg. Mukoba zimekwishwa na hakuna tamko lolote lililotolewa. Kama amesitisha hayo maamuzi magumu ajitokeze tena hadharani kuwatangazia walimu na umma kwamba ameghairi kama alivyojitokeza awali kutangaza juu ya maamuzi magumu.

Vinginevyo itaaminika kuwa chama hiki hakina meno na uwezo wa kutetea wanachama wake.

Nawasilisha.
 
wana njaa hadi nguvu ya kuongea hawana..ni majinga sana walimu,wakati wa kampeni ccm wanawapitishia 30,000 tu na wanauza uhai wao...nishahudia hili!
 
wana njaa hadi nguvu ya kuongea hawana..ni majinga sana walimu,wakati wa kampeni ccm wanawapitishia 30,000 tu na wanauza uhai wao...nishahudia hili!
wana njaa hadi nguvu ya kuongea hawana..ni majinga sana walimu,wakati wa kampeni ccm wanawapitishia 30,000 tu na wanauza uhai wao...nishahudia hili!
wana njaa hadi nguvu ya kuongea hawana..ni majinga sana walimu,wakati wa kampeni ccm wanawapitishia 30,000 tu na wanauza uhai wao...nishahudia hili!
wana njaa hadi nguvu ya kuongea hawana..ni majinga sana walimu,wakati wa kampeni ccm wanawapitishia 30,000 tu na wanauza uhai wao...nishahudia hili!
Wanasema njaa ikizidi tumboni huhamia kichwani.
 
Chura akisikia kishindo tuu ........ Ndo chama hiki
 
Huyo Mukoba ni mamluki na anatumika. Polen walimu!
 
Eti yapo kimya tu,wanaibuka watu wale wanadai wamewalipa tayari kumbe hata sivyo.
Malimbikizo yao ya mishahar hayajalipwa.Shame
 
CWT haina jipya na walimu wataendelea kusota hadi mwisho wa dunia maana cwt haipo kwa maslah ya walimu bali watawala.
 
Eti yapo kimya tu,wanaibuka watu wale wanadai wamewalipa tayari kumbe hata sivyo.
Malimbikizo yao ya mishahar hayajalipwa.Shame
Hao viongozi wao hapo juu labda hawaelewani kwanini hawakanushi taarifa kama hizo? Walimu nao kimya!!
 
Back
Top Bottom