Chama Cha Mabadiriko {Ccm}

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
1,183
1,083
Naota kuona CCM ikibadiri kirefu cha jina lake toka Chama cha mapinduzi kuwa chama cha mabadiriko..Zaidi inakaribia asubuhi ndoto yangu yaendelea naiona CCM ikizaliwa upya kabisa na kuwa chama chama cha matumaini kwa walikosa huduma za elimu,afya,maji,nishati,barabara,chakula,ajira,mikopo....

Nazidi kuota baada ya miaka mitano hakutakuwa na wana CCM wenye Uongo,Fitina,Husuda,Wizi,Kusingiziana,Kuchafuana,Ubnafsi,Ufisadi,Uvivu,Urafiki,Unafiki,Urasimu,Mipasho,Chuki Binafsi,Wivu,Choyo,wanunua madaraka/vyeo,wenye jeuri ya pesa,matajiri wa biashara haramu{wasiolipa kodi,wahujumu uchumi},wasababisha hasara serikarini,wapokea rushwa,watoa rushwa,watendaji wazembe}...

Mkikumbuka nyimbo zilizoimbwa na wanaccm wa miaka ya nyuma maudhui yake yalijaa uzalendo,hamasa ya maendeleo,kuthaminiana,kuijenga nchi,kushikamana,kutiana moyo,kuhamasishana,kujitambua,maono,dira,ujamaa...mfano ni

Chama Chetu cha Mapinduzi chajenga nchi....
chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi...
chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi.....


sio nyimbo za miaka ya karibuni zenye maudhui ya vijembe,mipasho,vitisho,kejeri,.....

CCM ni ile ile ooohh ni ile ile
CCm ni ile ile aaahh ni ile ile

Wataisoma wataisoma
Wataisoma wataisoma

Wataisoma Wataisoma

Leo kwa ujasiri unaweza kusimama kwenye kadamnasi ya watu ukaimba wimbo wa CCM yajenga nchi? Lakini tuendako yawezekana?...

Mungu mwenyezi isamehe sana Tanzania...Mungu ibariki Tanzania,Mungu isamehe Afrika,Mungu mwenyezi ibariki Afrika
 
Naota kuona CCM ikibadiri kirefu cha jina lake toka Chama cha mapinduzi kuwa chama cha mabadiriko..Zaidi inakaribia asubuhi ndoto yangu yaendelea naiona CCM ikizaliwa upya kabisa na kuwa chama chama cha matumaini kwa walikosa huduma za elimu,afya,maji,nishati,barabara,chakula,ajira,mikopo....

Nazidi kuota baada ya miaka mitano hakutakuwa na wana CCM wenye Uongo,Fitina,Husuda,Wizi,Kusingiziana,Kuchafuana,Ubnafsi,Ufisadi,Uvivu,Urafiki,Unafiki,Urasimu,Mipasho,Chuki Binafsi,Wivu,Choyo,wanunua madaraka/vyeo,wenye jeuri ya pesa,matajiri wa biashara haramu{wasiolipa kodi,wahujumu uchumi},wasababisha hasara serikarini,wapokea rushwa,watoa rushwa,watendaji wazembe}...

Mkikumbuka nyimbo zilizoimbwa na wanaccm wa miaka ya nyuma maudhui yake yalijaa uzalendo,hamasa ya maendeleo,kuthaminiana,kuijenga nchi,kushikamana,kutiana moyo,kuhamasishana,kujitambua,maono,dira,ujamaa...mfano ni

Chama Chetu cha Mapinduzi chajenga nchi....
chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi...
chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi.....


sio nyimbo za miaka ya karibuni zenye maudhui ya vijembe,mipasho,vitisho,kejeri,.....

CCM ni ile ile ooohh ni ile ile
CCm ni ile ile aaahh ni ile ile

Wataisoma wataisoma
Wataisoma wataisoma

Wataisoma Wataisoma

Leo kwa ujasiri unaweza kusimama kwenye kadamnasi ya watu ukaimba wimbo wa CCM yajenga nchi? Lakini tuendako yawezekana?...

Mungu mwenyezi isamehe sana Tanzania...Mungu ibariki Tanzania,Mungu isamehe Afrika,Mungu mwenyezi ibariki Afrika
Ndogo yako haitakuja maana hautakuwa kweli kamwe
 
Hahahahaha, wacha niendelee kupiga box huku nikiingiza chapaa ya kumkaribia kiongozi wako bungeni ila mukisha jipanga na kujielewa mtanambia nirudu lakin sio kwa hali hiyo mliyonayo, kwasasa niacheni.
 
Haiwezekani Chama Cha Mapinduzi kubadili jina wakati bado kinaendelea na tabia ya kupindua matokeo Zanzibar na Dar es salaam. Kukiita chama cha mabadiliko ni sawa na kufanya zoezi la kumleta kinyonga na kumuweka kwenye kitambaa cheupe kisha ukashangilia kwamba kinyonga ni mweupe wakati akiondolewa na kuwekwa kwenye shuka jeusi anageuka na kuwa mweusi.:eek:
 
Wewe una mtindio wa ubungo hujui kutofautisha r na l
ulisoma linguistics au lahaja au isimu au lugha mama inavyoathiri lugha kuu? Nenda maktaba kanunue vitabu vya isimu, linguistics na matamshi ndo urudi hapa. Ulishasikia wazungu wanakosoana kuongea kwao sababu mtu wa Sussex hawezi ongea sawa na mtu wa Yorkshire au Derbyshire. kama ulifkiri lugha ni moja nenda kwa wenzio kawauize watu wa New York wanavyoongea kama utawaelewa watu wa Carolina? Manhattan kwenyewe mtu wa Westchester count hawezi ongea na mtu wa New Rochell wakati wako jirani. Tembea ujue kutofautisha unachoongea achana na ushabiki bila exposure.
 
Back
Top Bottom