Chalinze: Ridhiwani achafuka

We kibo mbona cdm walikuwa wanatembea kwa chopa huku wapigakura wao kwa miguu hamkusema kitu.Au ndo kuku akinya sawa lkn bata akinya kaharisha?acheni kumshafua ridh1 anahaki ya kushinda kwa kishindo 90%+ mpende msipende.
 
wakati mwingine watu wawe wanaukubali ukweli hata kama unawaumiza
 
Kura za wananchi ndo zitaamua a cha haraka maana hakuna mtu aliewahi kuishi kesho, upo hapo.
 
Acha kumchafua dogo anachukua hapo hata mseme nini?
 
R1, hata asipopiga kabisa kampeni, tayari aliishashinda zamani pale tuu alipoteuliwa kuwa mgombea wa Chama Kubwa, Chama Kongwe, Chama Zoefu kilichokubuhu kwa uoza wa rushwa na ufisadi!.

Tuhuma zote ulizo mwaga humu ni tuhuma ndogo ndogo za nyodo na uswahili swahili, wapiga kura wa Chalinze wangekuwa wazungu, hapo ungeweza kusema angeweza kunyimwa kura, lakini wanachalinze ni waswahili, mambo ya uswahili swahili, hapo ndipo kwake!, R1 ni mbunge mteule wa Chalinze anayesubiri kuthibitishwa tuu hiyo tarehe 6 April .
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…