Chalii wa arachuga!!!!!

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Kama unajiitaga we ni challi wa Ara (arachuga) na hunaga hata All star,huna OPP(hood),huna dogi dogi shirt,hunaga boshori,ukionaga varangati unasepa,ukipigwa unaendaga polisi,husikilizagi wala kusapport wasanii wa Arachuga,hutumii japo kiroba au gomba au gax au geji,ukiendaga club huchezagi kingalelo hata ikiwekwa track ya jambo squad au juru au tash au hujui kabisa kucheza kingalelo,demu wako akimichwa na raia unamletea raia shida badala ugombane na zaga yako,dem wako akileta mapichapicha mara ya kwanza,ya pili,ya tatu.....ya nne au anakuendeshaga na bado unambembeleza kama K ni moja tu duniani,ukila gax puli moja au viroba viwili unalewaga(kichwa panzi). Asee we chalii ni Bhoooooya....na Arachuga sio kwenu Arifu hatakama una meno ya kuchoma(mekundu......unatakiwa uone rodi kabla haujagunduliwa joh.....nenda kwenuuuuuu....!!!
 
Back
Top Bottom