Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 8,387
- 14,661
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "
Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.
Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
Mpango hana mvuto wa kiuongozi yupo yupo tu kama bundi mchana wa jua kali.Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.
Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.
Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.
Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.
Afundwe huyu.
WeweYupi?
Huenda mama Samia aliconsult mahali na wakampa hili jina hata kama hakuwa amelipenda kwa 100%. Kuna wakati flaniflani inabidi ku-compromise ili na wewe mambo yako yaende bila bughudha.Huyu yupo kwenye kundi la mwenda zake, Samia alikosea Sana kumpendekeza huyu...
Nyie walimbwende, warembo, Wala vyepe daily, midebwedo wa pwani na Kaskazini kwa Mboowe mtakoma na wivu wenu kwa watu wa Kigoma. Kigoma ni kazi tu. Mkipenda hata wake zenu wape Waha wawafanyie kazi yenye weledi wa hali ya juu na iliyotukuka.Watu wa Kigoma ni shida,siku si nyingi Mama atajuta.
Na ndio wasiwasi wenu kwamba huenda akawa Rais baadae ndio maana muda wote mnahangaika kumchafua. Tulieni.Dr Mpango ni Professor wa nadharia zaidi. Tukitaraji matendo kwake tutamuonea.
Mungu atuepushe asije ukwaa Urais wa JMT. Tutaumia!
MkuuNa ndio wasiwasi wenu kwamba huenda akawa Rais baadae ndio maana muda wote mnahangaika kumchafua. Tulieni.
kabisa. Kuna Changamoto nyingi sana za Mazingira na Muungano. Ajikite kuhakikisha tunapata Mazingira Safi na Salama ya kuishi. Takataka ziondolewe, Muungano uimalike tuishi kidugu zaidi.
upo kama mimi, sijawahi muelewa wala simuelewagi akitamka jambo ama akitenda. Yaani tumeingiliwa sana kama taifaHuyo jamaa sijawahi kumwelewa...sometimes kama hazimo hivi
unajua mi nani?Inaonekana hujui maana ya Jamhuri
Umenena.Apewe mikasi akafungue makongamano na kufunga semina.
Afuatilie suala la Mazingira .
Aendeshe mijala ya Muungano wetu katika mambo yote yenye utata kwa pande zetu mbili.
Haya niyo majukumu yake kama makamo wa Raisi wakati raisi akiwa yupo ofisini.
Ama raisi akiwa nje ya ofisi mfano nje ya nchi au Likizo au Mgonjwa ,Makamo anaweza kuwa na Excutive order kwa niaba ya Raisi.