Kusema ukweli yaani kwa maisha ya sasa yalivyo ya mbio mbio hivi!! Mume wangu humkamati!
Kula tu kawaida anaona anachelewa! Umletee mbwembwe za nichagulie!!!??? Atakwambia chukua ukipendacho huku anafungua mlango
Wezi ndo wanaweza haya!
Kwa watu mlioko kwenye familia kuna kiwango cha mahaba aisee! Ila sio hiki hasa kwa mume wangu