Wapi nimesema kuna shidaKwani shida ipo wapi hapo.... unataka watu wasimake fun?
Acha watu tujiliwaze
Haha ila game lile ni balaa kuna wakati nasema ingekuwa kweli na mimi ningeenda I could surviveKuna watu wanapenda tu kuchezea hela....zinawawasha
Au hujaangalia Squid Game
Basi sikukuelewa maana namna ulivyocomment nikahisi kuna shidaWapi nimesema kuna shida
Mimi naona kabisa nisingesurviveHaha ila game lile ni balaa kuna wakati nasema ingekuwa kweli na mimi ningeenda I could survive
Hakuna shida bossBasi sikukuelewa maana namna ulivyocomment nikahisi kuna shida
Ningekuwa kama yule mzeeMimi naona kabisa nisingesurvive
Ningekufa mapema tu kwenye ile part ya Green Light na Red Light