CHADEMA yawasha moto Miono

CHADEMA yawasha moto Miono

Richard Robert

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
632
Reaction score
340
Leo jioni uongozi wa wilaya ya Bagamoyo kwa kushirikiana na viongozi wa jimbo la Chalinze umezindua kampeni za serikali za vijiji na vitongoji katika kata ya Miono.

Hii ni sehemu ya mikutano inayofanywa na timu kumi za kampeni zinazozunguka wilaya nzima.

Viongozi waliohutubia:
1. Mbalase - Mwenyekiti wa wilaya.
2. Mathayo Torongey - aliyekuwa mgombea chalinze;
3. Idd ucheche - Katibu;
4. Asha - katibu mwenezi jimbo
 
CHADEMA ni Mpango wa Mungu,yeyote aendae kinyume nao ni Agent wa Ibilisi.
 
Hii inanikumbusha CHOPA TATU, KATA TATU, haya yatajirudia tena safari hii!
 
CHADEMA ni Mpango wa Mungu,yeyote aendae kinyume nao ni Agent wa Ibilisi.

Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?
 
Wacha wakamilishe utaratibu kura zote CCM.
 
Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?

Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe si bure!
 
Leo jioni uongozi wa wilaya ya Bagamoyo kwa kushirikiana na viongozi wa jimbo la Chalinze umezindua kampeni za serikali za vijiji na vitongoji katika kata ya Miono.

Hii ni sehemu ya mikutano inayofanywa na timu kumi za kampeni zinazozunguka wilaya nzima.

Viongozi waliohutubia:
1. Mbalase - Mwenyekiti wa wilaya.
2. Mathayo Torongey - aliyekuwa mgombea chalinze;
3. Idd ucheche - Katibu;
4. Asha - katibu mwenezi jimbo

1417638321817.jpg
 

Attachments

  • 1417638357725.jpg
    1417638357725.jpg
    69.2 KB · Views: 334
  • 1417638407744.jpg
    1417638407744.jpg
    82.4 KB · Views: 349
  • 1417638473125.jpg
    1417638473125.jpg
    117.8 KB · Views: 289

Attachments

  • 1417640648861.jpg
    1417640648861.jpg
    87.6 KB · Views: 211
  • 1417640722765.jpg
    1417640722765.jpg
    61.6 KB · Views: 213
  • 1417640745821.jpg
    1417640745821.jpg
    77.6 KB · Views: 204
  • 1417640807353.jpg
    1417640807353.jpg
    99.2 KB · Views: 192
  • 1417640868746.jpg
    1417640868746.jpg
    61.8 KB · Views: 189
  • 1417640896259.jpg
    1417640896259.jpg
    61.9 KB · Views: 197
Mbona Zitto alienda "kinyume" na "mpango wa Mungu" ila juzi mlimsifia bungeni? na wote mkaufyata? mpaka Mwenyekiti Mbowe?

Bado sijajua mtu kama ww unalipwa bei gani!!! Maana upo hapa kila siku kupangua hoja za chadema. Mpaka unaboa.. Yaani huo ni ungese
 
We jina lenyewe msalani unafikiri atatoa nini kama si.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom