Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
Leo jioni uongozi wa wilaya ya Bagamoyo kwa kushirikiana na viongozi wa jimbo la Chalinze umezindua kampeni za serikali za vijiji na vitongoji katika kata ya Miono.
Hii ni sehemu ya mikutano inayofanywa na timu kumi za kampeni zinazozunguka wilaya nzima.
Viongozi waliohutubia:
1. Mbalase - Mwenyekiti wa wilaya.
2. Mathayo Torongey - aliyekuwa mgombea chalinze;
3. Idd ucheche - Katibu;
4. Asha - katibu mwenezi jimbo
Hii ni sehemu ya mikutano inayofanywa na timu kumi za kampeni zinazozunguka wilaya nzima.
Viongozi waliohutubia:
1. Mbalase - Mwenyekiti wa wilaya.
2. Mathayo Torongey - aliyekuwa mgombea chalinze;
3. Idd ucheche - Katibu;
4. Asha - katibu mwenezi jimbo