Gazeti hili linamilikiwa na Waziri mmoja aliyetimuliwa kuhusu sakata la ESCROW (japo majuzi amaesafishwa katika mazingira yanayoweza kueleweka katika mazingaombwe tu). So, it's no rocket science kuelewa kwanini gazeti na mmiliki wake wangetamani kuona Chadema sio tu wanatoka UKAWA bali pia wanaangamia. Itambulike kuwa CCM imekuwa hifadhi muhimu kwa watu kama waziri huyo wa zamani, na pindi UKAWA wakifanikiwa kuingia Ikulu, basi segerea inawasubiri.