Hapa Ndipo ninapo Mvulia Kofia Ndugu Lowassa. Huyu ni Bonge la Kiongozi, kwa Mipango yake na Mikakati yenye Dira hakika Chaadema Kitafanya Kazi Nzuri sana.
Wajipange Vizuri katika Almashauri walizozipata, wawatumikie wananchi kwa ufanisi Mzuri na Maendeleo yaonekane yasiwe Midomoni, wapange kamati moja ya Kutoa Mrejesho kwa Wananchi kwa kazi walizozifanya na Mafanikio yaliyo waletea wananchi husika katika miji na Majiji wanayo yaongoza.
Chama kishuke sasa kwa wananchi, kiwe karibu na Wananchi kwa kuonyesha Dira kama Chama kinachotafuta kuongoza Dola.