Watu wazima na elimu zao kujitoa ufahamu miaka yote hiyo....Kampeni zote kupinga ufisadi na wizi wa mali za umma leo mjinga mmoja anauza chama kwa aliekuwa anawaibia.Ccm wamechoka na viongozi mizigo wamekimbilia cdm...bavicha hata hili hamkuliona au ndo kauli mbiu ya ccm kwamba vichwani hakuna akili ni mirungi,bange na viroba?.Tunataka mabadiliko ila sio kwa kutuletea pancha kama Lowass=>sumaye na majizi yote kutoka ccm.