CHADEMA yabwagwa kesi ya uchaguzi jimbo la Mlimba

Peter Dafi

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
392
272
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA

Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA MLIMBA".

Leo Mchana ilikuwa ni Siku yakusikiliza kesi ya Jimbo la Mlimba ambapo ilikuwa ni Mapingamizi yakisheria yaliyowekwa na Wakili KIBATALA .

Kesi hii ni Dhidi ya Ndg Godwin Kunambi wa Chama Cha Mapinduzi (Aliyekuwa Mgombea) na Bi Suzani Kiwanga Mbunge wa Mlimba kwa Sasa (CHADEMA).

Kesi hii ilifunguliwa Mnamo Tarehe 29/02/2016 na Kesi za Pingamizi la Awali kutoka kwa Mwanasheria wa CHADEMA zilisikilizwa.

Aidha CHADEMA Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kwa Upande wa Chama Cha Mapinduzi Alisimama Mwanasheria Wao Ndg Godwin Kunambi, Ambae Pia Ndie Haswaa Mlalamikaji wa Kesi hii na Ndie aliyekuwa Mgombea Mwenza Jimbo la Mlimba.

Leo Tarehe 10/03/2016 majira ya Saa nane na Nusu (2:30) Mbele ya Jaji MJULIZI Uamuzi wa Hoja Zao za Mapingamizi Zilitupiliwa Mbali.

Na Kesi ya Msingi itasikilizwa Mara tu baada ya Mahakama Kupanga Tarehe ya Kusikiliza Kesi Hiyo.

Na Peter Dafi
 

Attachments

  • 1457620960515.jpg
    1457620960515.jpg
    41 KB · Views: 77
Magamba bana, yule aliyetumia pingamizi deki la mahakama kuzuia uchaguzi wa meya Dar ameisha kamatwa? Au mtamkamata panapo majaaliwa?
 
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA


Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA MLIMBA".


Leo Mchana ilikuwa ni Siku yakusikiliza kesi ya Jimbo la Mlimba ambapo ilikuwa ni Mapingamizi yakisheria yaliyowekwa na Wakili KIBATALA .

Kesi hii ni Dhidi ya Ndg Godwin Kunambi wa Chama Cha Mapinduzi (Aliyekuwa Mgombea) na Bi Suzani Kiwanga Mbunge wa Mlimba kwa Sasa (CHADEMA).

Kesi hii ilifunguliwa Mnamo Tarehe 29/02/2016 na Kesi za Pingamizi la Awali kutoka kwa Mwanasheria wa CDM zilisikilizwa.

Aidha CDM Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kwa Upande wa Chama Cha Mapinduzi Alisimama Mwanasheria Wao Ndg Godwin Kunambi, Ambae Pia Ndie Haswaa Mlalamikaji wa Kesi hii na Ndie aliyekuwa Mgombea Mwenza Jimbo la Mlimba.

Leo Tarehe 10/03/2016 majira ya Saa nane na Nusu (2:30) Mbele ya Jaji MJULIZI Uamuzi wa Hoja Zao za Mapingamizi Zilitupiliwa Mbali.

Na Kesi ya Msingi itasikilizwa Mala tu baada ya Mahakama Kupanga Tarehe ya Kusikiliza Kesi Hiyo.


Na Peter Dafi
wakikulipa hiyo buku 7 kwa hii post bas utakuwa umewaibia
 
Sasa hapo cdm wamebagwa wapi ilihali kesi ya msingi haijasikilizwa? Acheni kuhema kabla ya kipenga kupulozwa. Jaji anataka kusikiza hoja zote kwa umakini ili atoe hukumu ya haki. Siku nyingine acheni kuzipangia mahakama hukumu.
 
ccm kuharibu elimu kumbe walikusudia kuwakata watu wawe misukule yaoo! sasa hapa umeandika nini?#46 kuna wengine lazima mtoswe tu, hamuajiriki hata kwa kukisifia chama mnaharibu.
 
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA


Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA MLIMBA".


Leo Mchana ilikuwa ni Siku yakusikiliza kesi ya Jimbo la Mlimba ambapo ilikuwa ni Mapingamizi yakisheria yaliyowekwa na Wakili KIBATALA .

Kesi hii ni Dhidi ya Ndg Godwin Kunambi wa Chama Cha Mapinduzi (Aliyekuwa Mgombea) na Bi Suzani Kiwanga Mbunge wa Mlimba kwa Sasa (CHADEMA).

Kesi hii ilifunguliwa Mnamo Tarehe 29/02/2016 na Kesi za Pingamizi la Awali kutoka kwa Mwanasheria wa CDM zilisikilizwa.

Aidha CDM Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kwa Upande wa Chama Cha Mapinduzi Alisimama Mwanasheria Wao Ndg Godwin Kunambi, Ambae Pia Ndie Haswaa Mlalamikaji wa Kesi hii na Ndie aliyekuwa Mgombea Mwenza Jimbo la Mlimba.

Leo Tarehe 10/03/2016 majira ya Saa nane na Nusu (2:30) Mbele ya Jaji MJULIZI Uamuzi wa Hoja Zao za Mapingamizi Zilitupiliwa Mbali.

Na Kesi ya Msingi itasikilizwa Mala tu baada ya Mahakama Kupanga Tarehe ya Kusikiliza Kesi Hiyo.


Na Peter Dafi

Anadai ameibiwa kura??Au inakuwaje???Sijaelewa.
 
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA
SIKU HIZI KUNA HADI MGOMBEA MWENZA KWENYE UBUNGE?

Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA MLIMBA".


Leo Mchana ilikuwa ni Siku yakusikiliza kesi ya Jimbo la Mlimba ambapo ilikuwa ni Mapingamizi yakisheria yaliyowekwa na Wakili KIBATALA .

Kesi hii ni Dhidi ya Ndg Godwin Kunambi wa Chama Cha Mapinduzi (Aliyekuwa Mgombea) na Bi Suzani Kiwanga Mbunge wa Mlimba kwa Sasa (CHADEMA).

Kesi hii ilifunguliwa Mnamo Tarehe 29/02/2016 na Kesi za Pingamizi la Awali kutoka kwa Mwanasheria wa CDM zilisikilizwa.

Aidha CDM Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kwa Upande wa Chama Cha Mapinduzi Alisimama Mwanasheria Wao Ndg Godwin Kunambi, Ambae Pia Ndie Haswaa Mlalamikaji wa Kesi hii na Ndie aliyekuwa Mgombea Mwenza Jimbo la Mlimba.

Leo Tarehe 10/03/2016 majira ya Saa nane na Nusu (2:30) Mbele ya Jaji MJULIZI Uamuzi wa Hoja Zao za Mapingamizi Zilitupiliwa Mbali.

Na Kesi ya Msingi itasikilizwa Mala tu baada ya Mahakama Kupanga Tarehe ya Kusikiliza Kesi Hiyo.


Na Peter Dafi
 
MAKUBWA MGOMBEA MWENZA KWENYE UBUNGE? TOKA LINI HUU UTARATIBU UMEANZA? AU NDO DIVISHENI FIVE KATIKA UBORA WAKE?
 
Huyu jamaa bana yaani kanistua, nilifikiri ni nyoka kweli kumbe ni nyasi za porini
 
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA


Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA MLIMBA".


Leo Mchana ilikuwa ni Siku yakusikiliza kesi ya Jimbo la Mlimba ambapo ilikuwa ni Mapingamizi yakisheria yaliyowekwa na Wakili KIBATALA .

Kesi hii ni Dhidi ya Ndg Godwin Kunambi wa Chama Cha Mapinduzi (Aliyekuwa Mgombea) na Bi Suzani Kiwanga Mbunge wa Mlimba kwa Sasa (CHADEMA).

Kesi hii ilifunguliwa Mnamo Tarehe 29/02/2016 na Kesi za Pingamizi la Awali kutoka kwa Mwanasheria wa CDM zilisikilizwa.

Aidha CDM Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kwa Upande wa Chama Cha Mapinduzi Alisimama Mwanasheria Wao Ndg Godwin Kunambi, Ambae Pia Ndie Haswaa Mlalamikaji wa Kesi hii na Ndie aliyekuwa Mgombea Mwenza Jimbo la Mlimba.

Leo Tarehe 10/03/2016 majira ya Saa nane na Nusu (2:30) Mbele ya Jaji MJULIZI Uamuzi wa Hoja Zao za Mapingamizi Zilitupiliwa Mbali.

Na Kesi ya Msingi itasikilizwa Mala tu baada ya Mahakama Kupanga Tarehe ya Kusikiliza Kesi Hiyo.


Na Peter Dafi
Naona umemuhama boss wako HKIGWA we puppet
 
.....Aidha CDM Waliwasilisha na Mwanasheria wao Ndg Peter Kibatala na Mwanasheria Ndg Mtuli toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.....


Na Peter Dafi
CDM wanawakilishwa na mwanasheria wa serikali? Rudisha chenji
 
Back
Top Bottom