CHADEMA wazomewa Mwanza

Labda kama unamaanisha MUWANZA ya Zambia lakini sio MWANZA ya Tanganyika tunayoifahamu!

CCM Mwanza Tanganyika ilishazikwa siku nyingi.
 
katika hali ya kawaida chadema haiwezi kuzomewa mwanza.nimetembea sana nchi hii kwa sasa chadema ni mkombozi wa watu na ukileta upuuzi unaondolewa na wananchi wenyewe.




 
jiandae kisaikolojia kwamba chama cha magamba kina chini ya miaka miwili kuwepo! ni chama mfu...hizo propaganda nyingine hazitakusaidia
 
mleta huu uzi ni mmbea,mini npo mwanza chadema huku ni noumaaaaaa

Hongera mwenzetu umejigawa mwanza nzima. Acheni kuongopea watu eti cdm ni noma utafikiri hatujui.. Mshachoka mapema
 
Dah umbeya mwingine ni shida sana yaani heading na content ya ndani ni tofauti sana yaani mkutano ulikuwa na watu wachache sana afu waliozomea ni akina nani? naona mahitaji ya tumbo lako ndo yamekufanya upost utumbo
 

CCM yazomewa karibu kila kona nchi nzima hao wanaozomea Chadema ni CCM.

Diwani wa cdm alipomtaja mbunge wa maccm akazomewa. Taarifa inayokuja ni cdm wamezomewa na sio neno ccm limesababisha diwani azomewe! Duh, au kiswahili kigumu sana siku hizi?
 
safi sana nawapongeza wananchi waliotoa somo hilo kwao kuwa hawana jipya na hawawataki na pia wamekataa kupokea viroba.
 
vp uyo balozi ni wa ccm nn au nimemsahauuuuuu
 
Kauli yako ni sawa na kusema BABA AZOMEWA NYUMBANI KWAKE....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…