Monday, March 23, 2015
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Sengerema mjini humo mkoani Mwanza hivi karibuni
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Salim Mwalim (kushoto) akimsikiliza kada wa Chadema Wilaya ya Sengerema, Hamis Tabasamu (kulia) akieleza nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Sengerema katika Uchaguzi Mkuu 2015
Hivi ni lini naibu katibu mkuu wetu wa Zanzibar Ndg. Salum Mwalimu ataanza ziara za kukijenga chama chetu huko upande wa pili wa muungano (nchi ya Zanzibar)??
Hivi ni lini naibu katibu mkuu wetu wa Zanzibar Ndg. Salum Mwalimu ataanza ziara za kukijenga chama chetu huko upande wa pili wa muungano (nchi ya Zanzibar)??
Hii ndo kazi sio usanii unaofanywa ns adui mpya wa ukombozi a.k.a mtoto wa CCM anaedhani kufanya kikao serena hotel ni sawa na mkutano wa hadhara!! Tunamsubili filidi.
Nimeamini chadema ni chuo cha kutengeza vichwa, kama alivyotengenezwa Zitto na Mbowe, pia Mwalim Salum kapikwa hasa maana jamaa anajua siasa sio mchezo,
Nimeamini chadema ni chuo cha kutengeza vichwa, kama alivyotengenezwa Zitto na Mbowe, pia Mwalim Salum kapikwa hasa maana jamaa anajua siasa sio mchezo,
Hivi ni lini naibu katibu mkuu wetu wa Zanzibar Ndg. Salum Mwalimu ataanza ziara za kukijenga chama chetu huko upande wa pili wa muungano (nchi ya Zanzibar)??
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!