CHADEMA wanahitaji "kupigwa jeck" ya kisiasa na vijana wa UVCCM

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,491
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya sana.

Vijana wa UVCCM tujitokeze tukaimarishe upinzani kwani unaweza ukafutika automatically. Wamepoa sana sijui ni homa ya uchaguzi uliopita ama nguvu zimewaishia. Asante
 
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya sana.

Vijana wa UVCCM tujitokeze tukaimarishe upinzani kwani unaweza ukafutika automatically. Wamepoa sana sijui ni homa ya uchaguzi uliopita ama nguvu zimewaishia. Asante
Uvccm hawa kina shaka au? Labda Ni kinyume chake, CCM wapigwe jeki na BAVICHA. Naona hata katibu WA itikadi na uenezi wa ccm taifa anazidiwa uwezo na mjumbe wa Baraza la vijana chadema kata ya sombetini.
 
Japo chadema pana fuka lakini sidhani kama UVCCM kuna kijana mwenye timamu zake maana ukiwa na timamu CCM si pahala PA kuishi.
 
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya sana.

Vijana wa UVCCM tujitokeze tukaimarishe upinzani kwani unaweza ukafutika automatically. Wamepoa sana sijui ni homa ya uchaguzi uliopita ama nguvu zimewaishia. Asante


UVCCM ipi hyo unayoiongelea hapa?ile aliyemo yule kiongozi kutoka upande wa pili wa muungano anaedaiwa kwenda mara kwa mara kule Mombasa kula bata na wanaume wenzake?
 
Vijana wenyewe wa CCM wakuwapiga jack vijana wa CHADEMA ndio hawahawa akina Polepole leo yuko pamoja na wananchi kuwatetea kesho kapigwa cha juu wananchi na haki zao hawajui tena.
 
Mnataka nn nyie? Mwambien Malaika wenu afungulie mikutano ya kisiasa muone. Mpo wenyew uwanjani na hamtaki kucheza na timu nyingine halafu bado mnajisifu.
NYIE NI MATAHIRA. Ni sawa na mwanafunzi anayejitungia maswali na kujisahihisha mwenyew
 
  • Thanks
Reactions: 999
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya sana.

Vijana wa UVCCM tujitokeze tukaimarishe upinzani kwani unaweza ukafutika automatically. Wamepoa sana sijui ni homa ya uchaguzi uliopita ama nguvu zimewaishia. Asante
Si mnataka mbaki wenyewe.
Fanyeni sasa.

Njaa tu imeshawanyoosha mko hoi sasa mnatafuta pa kushika.
Jishikeni wenyewe na mfamle wenu
 
Ni wazi kwamba CHADEMA wamepwaya sana kisera, kifikra, hali inayotishia kufutika kwa upinzani nchini. Wakati Sumaye anahamia CHADEMA alisema anaenda kuongeza nguvu ila bado kumepoa na kupwaya sana.

Vijana wa UVCCM tujitokeze tukaimarishe upinzani kwani unaweza ukafutika automatically. Wamepoa sana sijui ni homa ya uchaguzi uliopita ama nguvu zimewaishia. Asante

Mumeshindwa kumuwajibisha yule kiongozi wenu aliyeolewa Mombasa mtaweza kuongea na wanaume wa shoka?
 
UVCCM ipi hyo unayoiongelea hapa?ile aliyemo yule kiongozi kutoka upande wa pili wa muungano anaedaiwa kwenda mara kwa mara kule Mombasa kula bata na wanaume wenzake?
Sio kula bata na wanaume wenzake.sema kuzibuliwa mtaro.Au fundi tred
 
Back
Top Bottom