CHADEMA "wamtosa" Zitto

Wanajuaga kwa upande wa uongo kawazidi sana.
 

Haa haa Act si ilianzishwa ili kushindana na Cdm na si ccm .mmesahau hilo asubuhi hii
 
Usiwe unataka usingizini alafu unaleta mada zako za jikoni humu,sijaona ulichoo maanisha hapo Chadema wamtosa zitto kwenye nini,yaani kwa akili yako like ndio njia ya Ku support jambo,acha upuuzi inzi Wa kijani.
 
Propaganda za kitoto kutoka kwa mzee mwenye akili ya kitoto
 
Wana kauwivu fulani dhidi ya huyo jamaa, manaake keshawazidi kete.
Naona wacha.wi mnajibizana wenyewe kwa wenyewe jf! Imagine waziri anashinda mitandaoni akifuatilia 'likes' ya wabunge wa upinzani kwa zitto.....what a hell? @wakudadavua kama bado unampenda Zitto si uombe nafasi ya uke wenza?
 
Duh, kweli au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…