CHADEMA waanza kuichezea rafu ACT- Wazalendo

CHADEMA waanza kuichezea rafu ACT- Wazalendo

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
Baada ya mkutano mkubwa wa ACT Wazalendo kufanyika jana katika viwanja vya Zakhem Mbagala na kumnadi mgombea wao wa urais, wabunge pamoja na madiwani wa ukiongozwa ni kiongozi mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe na sera zao kukubalika kwa wana mbagala na temeke kwa ujumla wake, kuibuka vijana wnosadikiwa kuwa ni weafusi wa chadema na ukawa wamekuwa wakipita usiku na kuchana picha zinazowanadi ACT Wazalendo.

Wafuasi ihao wa CHADEMA na wamekuwa wakichana matangazo yenye picha zenye kuwadi wagombea wa chama hicho katika wilaya ya temeke hususani maeneo yote ya Mbagala, walikasirishwa na maneno ya mzaha wanayoyapata kutoka kwa wana ACT kuwa mgombea wao na ukawa hawezi kuzungumza zaidi ya dk 10 tofauti na mgombea mwana mama wa ACT ambaye anaju jinsi ya kumiliki jukwa hata zaidi ya masaa 3.

Tofauti na jana Temeke na Mbagala yote ilikuwa imepambwa na picha zaa kuwanadi ACT wazalendo zikiongozwa na kiongozi mkuu wao Zitto lakini leo asubuhi picha nyingi zimeonekana kuchanwa.

Wapenda amani wamewataka vijana hao wa CHADEMA kuacha mara moja mchezo huo mchafu kwani ni kosa la jinai kuchana picha za wagombea na zinaweza kuleta vurugu badala yake wajikite katika siasa za kistaarabu zadi katika kutangaza sera za chama chao.
 
Kwanini wasiwe vijana wa CCM au Agizo la Chama Tawala katika kutafuta Umaarufu kwa nguvu kwa mgongo wa UKAWA? ... Tunajua ACT wote ni social Climbers ...
 
Kama tunataka mabadiliko tuunge mkono CDM kwani chama hiki kikitetereka ccm itabaki madarakani kwa miaka mingine 50 ijayo!!!
 
Kwanza kama ingewezekana hicho chama kikafutika naamini ingempendeza sana Mungu,bora TLP kuliko hili group la wala rushwa
 
Kama una uwakika ni vijana wa chadema peleka mahakamani.
 
Mbona nyie kila siku ni kulialia tu fanyeni kazi.
 
Umejuaje Kama Ni Vijana Wa Chadema? Je? Act Mpinzani Wake Ni Chadema Tu? Kama Uliwaona Kwanini Usitoe Taalifa Police? Tukisema Nyinyi Ni Cc B Mnalukaluka Siku Zote Njia Ya Mwongo Ni Fup
 
ACT kweli ni CCM. Akili yako kama ya Kampeni Manager wenu.
 
Wewe ngoja kuanzia kesho Mahakama itawahusu wambea kama wewe alafu hawana ushahidi
 
Baada ya mkutano mkubwa wa ACT Wazalendo kufanyika jana katika viwanja vya Zakhem Mbagala na kumnadi mgombea wao wa urais, wabunge pamoja na madiwani wa ukiongozwa ni kiongozi mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe na sera zao kukubalika kwa wana mbagala na temeke kwa ujumla wake, kuibuka vijana wnosadikiwa kuwa ni weafusi wa chadema na ukawa wamekuwa wakipita usiku na kuchana picha zinazowanadi ACT Wazalendo.

Wafuasi ihao wa CHADEMA na wamekuwa wakichana matangazo yenye picha zenye kuwadi wagombea wa chama hicho katika wilaya ya temeke hususani maeneo yote ya Mbagala, walikasirishwa na maneno ya mzaha wanayoyapata kutoka kwa wana ACT kuwa mgombea wao na ukawa hawezi kuzungumza zaidi ya dk 10 tofauti na mgombea mwana mama wa ACT ambaye anaju jinsi ya kumiliki jukwa hata zaidi ya masaa 3.

Tofauti na jana Temeke na Mbagala yote ilikuwa imepambwa na picha zaa kuwanadi ACT wazalendo zikiongozwa na kiongozi mkuu wao Zitto lakini leo asubuhi picha nyingi zimeonekana kuchanwa.

Wapenda amani wamewataka vijana hao wa CHADEMA kuacha mara moja mchezo huo mchafu kwani ni kosa la jinai kuchana picha za wagombea na zinaweza kuleta vurugu badala yake wajikite katika siasa za kistaarabu zadi katika kutangaza sera za chama chao.

Act na ccm wamezidi kwa mabango hadi kero.. "Uchafu"
 
Umejuaje Kama Ni Vijana Wa Chadema? Je? Act Mpinzani Wake Ni Chadema Tu? Kama Uliwaona Kwanini Usitoe Taalifa Police? Tukisema Nyinyi Ni Cc B Mnalukaluka Siku Zote Njia Ya Mwongo Ni Fup

Kuwa maarufu ni aghali sana na inachukua mda mrefu
 
Baada ya mkutano mkubwa wa ACT Wazalendo kufanyika jana katika viwanja vya Zakhem Mbagala na kumnadi mgombea wao wa urais, wabunge pamoja na madiwani wa ukiongozwa ni kiongozi mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe na sera zao kukubalika kwa wana mbagala na temeke kwa ujumla wake, kuibuka vijana wnosadikiwa kuwa ni weafusi wa chadema na ukawa wamekuwa wakipita usiku na kuchana picha zinazowanadi ACT Wazalendo.

Wafuasi ihao wa CHADEMA na wamekuwa wakichana matangazo yenye picha zenye kuwadi wagombea wa chama hicho katika wilaya ya temeke hususani maeneo yote ya Mbagala, walikasirishwa na maneno ya mzaha wanayoyapata kutoka kwa wana ACT kuwa mgombea wao na ukawa hawezi kuzungumza zaidi ya dk 10 tofauti na mgombea mwana mama wa ACT ambaye anaju jinsi ya kumiliki jukwa hata zaidi ya masaa 3.

Tofauti na jana Temeke na Mbagala yote ilikuwa imepambwa na picha zaa kuwanadi ACT wazalendo zikiongozwa na kiongozi mkuu wao Zitto lakini leo asubuhi picha nyingi zimeonekana kuchanwa.

Wapenda amani wamewataka vijana hao wa CHADEMA kuacha mara moja mchezo huo mchafu kwani ni kosa la jinai kuchana picha za wagombea na zinaweza kuleta vurugu badala yake wajikite katika siasa za kistaarabu zadi katika kutangaza sera za chama chao.

Sasa mkianzisha valangati wakati mbio hamna mlitegemea nini? Mkiamua sera zenu ni kupambana na wapinzani wenzenu basi pia muwe mmejiandaa maana huo ni mwanzo tuu...
 
Mleta mada huna uhakika kuwa ni vijana wa Chadema au Ukawa, kama kweli picha zimechanwa inawezekana ikawa wana CCM, Wana Ukawa au wana ACT wenyewe ili isemekane CDM ama UKAWA ndio waliozichana ila mwisho wa taarifa za uongo kama zako ni leo sheria ya mitandao inaanza kazi kesho
 
Back
Top Bottom