CHADEMA/UKAWA wamehaha


Chadema kupoteza mwelekeo, wewe utapungukiwa nini? Hata hivyo kupoteza mwelekeo hutokea kwa mtu au chama chochote. Huwezi siku zote ukawa imara. Inafikia kipindi hata wewe unayumba kwa kukosa fedha za matumizi sembuse chama makini chadema?
 
Chadema kupoteza mwelekeo, wewe utapungukiwa nini? Hata hivyo kupoteza mwelekeo hutokea kwa mtu au chama chochote. Huwezi siku zote ukawa imara. Inafikia kipindi hata wewe unayumba kwa kukosa fedha za matumizi sembuse chama makini chadema?

Na kosa namba moja lilikuwa ni kumpokea Lowassa na kumfanya mgombea urais. Hapo mwelekeo wa CHADEMA, chama makini, ndipo ulianza kuyumba..
 
Uharo tu nilipoona tittle nikajua tu ni walewale stomach seekers and thinkers,haya kadake buku 3/7 baada ya kupoteza muda wako mkidanganywa hapa kazi tu nayo hiyo ni kazi au utumbo.
Usidai hata nyongeza endeleeni kuwa watumwa wa matumbo,go to the hell.
 
Anachofanya kila mtu anaweza kufanya,
 
Kwani kuna mtu aliwaambia wazibe midomo na karatasi?
 
Kama utawala wa awamu ya tano ungekuwa ni wa kidikteta huyo Lisu angeachiwa leo kwa dhamana? Hawa Chadema wanafahamu maana halisi ya udikteta?
 
Chadema wamejichanganya inakuhusu nini. Kuwa na uwezo mdogo ni kujipambanua kama ulivyofanyia wewe. Ni wewe huyohuyo unayehangaika na mambo ya Lowasa yaliyotokea miaka kumi iliyopita unaacha Escrow ya mwaka jana tu. Ujinga gani huo. Usisahau sisi wote ni wanadamu na ni watanzania jambo baya linatuhusu wote na jambo jema linatuhusu pia.
 
Na kosa namba moja lilikuwa ni kumpokea Lowassa na kumfanya mgombea urais. Hapo mwelekeo wa CHADEMA, chama makini, ndipo ulianza kuyumba..

Lowasa asipokelewe yeye siyo binadamu? au ulitaka nani apokelewe ili ulidhike? Mawazo mengine bhana!
 
Kwani kuna mtu aliwaambia wazibe midomo na karatasi?
Wewe nikikujibu nakuonea uelewa wako ni mdogo.

Kuweka makaratasi ni kutuma ujumbe sasa kama una akili ya kindergarten utaelewa nini
 
Siasa ni dynamic na wakati fulani ufumbuzi wa tatizo moja huzalisha tatizo jingine, usijifungie ndani ya box,
hujajibu hoja. hapo cdm ndio imebaki kwenye box baada ya jpm kuwa preempty
 
Mtoa mada nimeona nisikuache hivihivi coz naona una uhelewa hafifu sana ni hivi hayo yote anayofanya JPM ni matunda ya kuwepo upinzani kwahivo basi ili nchi iendelee tunahitaji wapinzani wenye nguvu pengine kuliko CHADEMA
hivi nyie watu wa siku hizi mnasoma shule gani. 'uhelewa' ndio nini?
 
Kuna wapiga deal za
SUKARI TOKA NJE
MISHAHARA HEWA
MAKONTENA BANDARINI
VYETI FEKI
VYUO FEKI
WAFANYAKAZI HEWA
WAPAMBE WA LOWASA
WAKWEPA KODI, walikuwa wananufaika Sasa mambo Hayo hayapo, wanachofanya Ni kuhakikisha kuwa JPM anaonekana hafai kwa sababu ambazo hazina miguu wala kuchws
 
Hivi wao zile ahadi walizoahidi wanatekeleza ama ndo wanazitathimini za rais tu? watakuja kujuta mda na saa vikitaraji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…