kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Hivi bado kuna chadema tanzania kweli
mi naisikiaga tu humu jf sidhani kama katika maisha ya kawaida bado ipo
Ni sawa na tunavyoisikia ACT humu jf mkuu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Songea kimehitimisha msambaratiko mkubwa unaokikumba chama hicho nchi nzima. Ni baada ya uchaguzi wa jimbo kushindwa kufanyika, baada ya kuahirishwa mara tano na mara ya mwisho ulikuwa ufanyike tareh 24.08.2014 ukaahirishwa. Joseph Fuime, mwenyekiti wa mkoa amekivuruga chama kwa kupanda mamluki kibao, kisa yampe kampani kwenye ubunge 2015. Kwasasa zaidi ya wanachama 10 wameapa kukisurubu chama hicho kwa kuhakikisha kuwa wanakihama. Fuime nae amesikika akisema kuwa wakimbabaisha zaidi anahamia ACT ambako uchunguzi umebaini kuwa anakutumikia kiaina.
My take; Yetu macho.!
Fuime pia amedaiwa kuwa na mawasiliano na watu wa ccm. Kama anakataa ukweli aje hapa akanushe kukutana na mbunge Nchimbi tarehe 17.08.2014, nyumbani kwake Mateka, Songea, usiku wa manane na akapewa mil. 20 ambazo ndizo ananunulia mahindi na kisha kuyauza NFRA. Kituo chake cha kununulia mahindi ni Mletele na kisha anayasomba mida ya jioni kupitia making'inda kwa Kuchire na kuyahifadhi kenye maghala ya mzee Msimamo. Kama anabisha aje humu akanushe kuwa ile fedha anayonunulia mahindi kwa wingi si ya Dr. Nchimbi!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Songea kimehitimisha msambaratiko mkubwa unaokikumba chama hicho nchi nzima. Ni baada ya uchaguzi wa jimbo kushindwa kufanyika, baada ya kuahirishwa mara tano na mara ya mwisho ulikuwa ufanyike tareh 24.08.2014 ukaahirishwa. Joseph Fuime, mwenyekiti wa mkoa amekivuruga chama kwa kupanda mamluki kibao, kisa yampe kampani kwenye ubunge 2015. Kwasasa zaidi ya wanachama 10 wameapa kukisurubu chama hicho kwa kuhakikisha kuwa wanakihama. Fuime nae amesikika akisema kuwa wakimbabaisha zaidi anahamia ACT ambako uchunguzi umebaini kuwa anakutumikia kiaina.
My take; Yetu macho.!
Fuime pia amedaiwa kuwa na mawasiliano na watu wa ccm. Kama anakataa ukweli aje hapa akanushe kukutana na mbunge Nchimbi tarehe 17.08.2014, nyumbani kwake Mateka, Songea, usiku wa manane na akapewa mil. 20 ambazo ndizo ananunulia mahindi na kisha kuyauza NFRA. Kituo chake cha kununulia mahindi ni Mletele na kisha anayasomba mida ya jioni kupitia making'inda kwa Kuchire na kuyahifadhi kenye maghala ya mzee Msimamo. Kama anabisha aje humu akanushe kuwa ile fedha anayonunulia mahindi kwa wingi si ya Dr. Nchimbi!
Fuime pia amedaiwa kuwa na mawasiliano na watu wa ccm. Kama anakataa ukweli aje hapa akanushe kukutana na mbunge Nchimbi tarehe 17.08.2014, nyumbani kwake Mateka, Songea, usiku wa manane na akapewa mil. 20 ambazo ndizo ananunulia mahindi na kisha kuyauza NFRA. Kituo chake cha kununulia mahindi ni Mletele na kisha anayasomba mida ya jioni kupitia making'inda kwa Kuchire na kuyahifadhi kenye maghala ya mzee Msimamo. Kama anabisha aje humu akanushe kuwa ile fedha anayonunulia mahindi kwa wingi si ya Dr. Nchimbi!