CHADEMA siasa za ukanjanja zitawaponza; Kutetea upuuzi kwa kigezo cha kutengeneza wapiga kura!

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
16,003
Igwe wanaJF

Nimeona siku ya leo kabla sijaenda kupumzika niwatobolee siri CHADEMA kuwa wanasiasa wengi mdani ya CCM miaka 10 hadi 20 iliyopita walijijenga kwa upotofu wa kutetea wavunja sheria na upuuzi.Nitawapa mifano;

Mwishoni mwa miaka ya 90 Mbunge wa ilala Iddi Simba alishawishi na kukataa wakazi wa bonde la msimbazi wasihamishiwe Segerea kwa kigezo kuwa ni porini ajenda iliyojificha "hawa ni wapiga wangu hivyo wangehama kura zake zingepungua" baadae akaachia ngazi baada ya kuchokwa.

Kumekuwa na kilio cha muda mrefu kuwa wanaosomea ualimu elimu yao duni mara nyingi wabunge wamelalamikia kuhusu kushuka kiwango cha elimu sasa serikali inaporejebisha suala hilo ninyi mnaona ndio fursa ya kutengeneza "wapiga kura" haya ngoja tusubiri.

Mara nyingi mnaongelea "mfumo" bila mnamamnamaanisha.Mfumo mzurimzurinaununaundwaatu wanaosimamia kanunkanuniio nadhanadhariai zisizotekelezwa,mfumo mzuri hurekebisha kasoro mara moja inapogundulika.

Chadema mlidhihaki mfumo wa JK kwa propaganda kumbe mioyoni mlinufaika kwa kushiriki uhalifu kuliangamiza taifa.

Kila siku mnasema watanzania wameelimika,sasa unafikiri hao walioelimika unafikiri viongozi wa Chadema mnaweza kuongea hizo propaganda wakawaelewa?.Lazima taifa lijisahihishe na kila mmoja wetu asimamie kanuni tujadili masuala na sio watu.Hivi siku ya kujadili bajeti ya serikali,Lugumi..nk mtasusa kisa Naibu Spika Dr.Tulia anaongoza kikao?

Haya ngoja tusubiri manake ripoti ya Twaweza ilisema upinzani unaungwa mkono na wasomi,na hulka ya wasomi ni kupima hoja.Muda ndio jibu zuri.

Nawakilisha.
 
Mmemaliza kuwatumia U-dom kwenye uchaguzi sasa mmewatimua.ccm ovyo kabisa.
Kijana kama ulifuatilia kipindi cha kupiga kura ukiwa mkweli utasema ni Chadema ndio walikuwa bize na kusafirisha wanafunzi wakapige kura walipojiandikisha.Jikite kwenye hoja kijana!
 
Mmemaliza kuwatumia U-dom kwenye uchaguzi sasa mmewatimua.ccm ovyo kabisa.
Hao wanaUdom ndiyo vihiyo (vimeo). Kitendo cha kukubali kutumika tu tafsiri yake ni kwamba hawajielewi. Sasa wote (wahadhiri na wanafunzi wao wanaipata fresh). UDOM yageuka kuwa U do me!
 
Chadema mlijichanganya kwenye suala la kubadili gia angani hadi leo mnakosa uhalali wa kujadili ama kuukemea ufisadi. Sasa niwatahadharishe mapemaaaaa! Suala la hawa vilaza a.k.a vihiyo wa udom achaneni nalo litawapotezea mwelekeo kabisaaa!!!

Mnatetetea vilaza waendelee kula kodi zetu!!!!??
 
Nilipokua nafungua uzi huu nilikuwa nawaza safari hii utakuwa umemsingizia nani,naona umejirekebisha na kuweka wazi kuwa ni maoni yako!
Ccm ndio kinara wa kutengeneza wapigaa kura kwa ulaghai!Mfano ni zaidi ya miaka 10 ccm imekuwa ikiahidi wana kigoma barabara ya lami kutoka kigoma mjini kupitia kasulu-kibondo mpaka kuunganisha na nyakanazi ambako ndiko lami inayotoka kahama kwenda kigoma ndiko ilikoishia!Ikifika wakati wa uchaguzi serikali imekuwa ikipeleka greda na vifaa vingine vya ujenzi sight ili kuwaonesha wapiga kura sasa kero yao inaenda kutatuliwa!Kwenye kampeni ccm huwa wanasema tupeni kura tumalizie ujenzi,wananchi wanaingia mkenge!Mkishapewa kura vifaa vyote mnaondoa sight mpaka uchaguzi mwingine mnarudi na style ilele!Ni zaidi ya miaka 10 lami hiyo haijafika hata kasulu,sembuse kuunganisha na na Mkoa wa shinyanga!
Mifano iko mingi mno ya ahadi hewa!
 
Mkubwa kiswahili hujui kuandika au!? Sijakuelewa kabisa! Je ungeambiwa uandike kwa lugha ya malkia? Duu sijui uliruka darasa la pili? Au ndio umesoma hizi shule za kata?
 
Chadema mlijichanganya kwenye suala la kubadili via angani hadi leo mnakosa uhalali wa kujadili ama kuukemea ufisadi. Sasa niwatahadharishe mapemaaaaa! Suala la hawa vilaza a.k.a vihiyo wa udom achaneni nalo litawapotezea mwelekeo kabisaaa!!!

Mnatetetea vilaza waendelee kula kodi zetu!!!!??
Hakuna watu wa ajabu kama chadema.
Ni wiki tu imepita walikua wanamlaani kikwete na kawambwa kuharibu elimu,leo wanateta vilaza.
Chadema wanatakiwa waitane wapange wanasimamia nini,sasa wamekua waviziaji,wakisia jambo wanakanyaga hapo hapo,wanatoka kapa,wanahamia kwingine
Mfano,waliposikia Dau kang'olewa NSSF,wakashupalia kuna ufisadi,mwisho hatuwasikii
Wakaja na Lugumi,hatukulala,sasa kimya.
Naona sasa wapo na vihiyo 7000 ambao leo wamezimwa na tuliemkabidhi hazina,tusubiri chadema watatoka na jambo gani
 
Nilipokua nafungua uzi huu nilikuwa nawaza safari hii utakuwa umemsingizia nani,naona umejirekebisha na kuweka wazi kuwa ni maoni yako!
Ccm ndio kinara wa kutengeneza wapigaa kura kwa ulaghai!Mfano ni zaidi ya miaka 10 ccm imekuwa ikiahidi wana kigoma barabara ya lami kutoka kigoma mjini kupitia kasulu-kibondo mpaka kuunganisha na nyakanazi ambako ndiko lami inayotoka kahama kwenda kigoma ndiko ilikoishia!Ikifika wakati wa uchaguzi serikali imekuwa ikipeleka greda na vifaa vingine vya ujenzi sight ili kuwaonesha wapiga kura sasa kero yao inaenda kutatuliwa!Kwenye kampeni ccm huwa wanasema tupeni kura tumalizie ujenzi,wananchi wanaingia mkenge!Mkishapewa kura vifaa vyote mnaondoa sight mpaka uchaguzi mwingine mnarudi na style ilele!Ni zaidi ya miaka 10 lami hiyo haijafika hata kasulu,sembuse kuunganisha na na Mkoa wa shinyanga!
Mifano iko mingi mno ya ahadi hewa!
Mkuu sina haja kumsingizia mtu.Naamini hii hoja umeielewa nilianza kwa kukiri jinsi kansa hii ya "kutengeneza wapigakura" kwa hoja dhaifi ilivyoiathiri.Nimebainisha kwa kasi Chadema wamepokea kijiti hiki!Karibu mkuu.
 
Wapinzani ni sawa na mtoto mchanga aliye tumbńi anayedhani tumbo la mama yake lina uwanja mpana wa kucheza akiwa hajui kuwa akitoka nje kuna eneo pata zaidi ambalo anaweza kufanya yote na akachoka. Lusinde
 
Bwana wewe mtoa mada naomba nikushambulie kidogo, ila samahani "unaharibu mkuu,,,,ongeapopole pole unanistuliastulia ndege wangu""
 
Upinzani kutetea haki za hao raia haimaanishi wamepoteza dira. Ni ukweli usiopingika serikali hii inakurupuka sana matokeo yake wanajaribu kurectify tatizo kumbe wana create matatizo zaidi.
Kwa sasa kunatakribani vibaka to be 7000 serikali imesaidia kuwazalisha.
 
CHADEMA wanajinyonga wenyewe kwa kukurupuka kwao na kwa kutokuwa "Specific". Zamani walijikita katika suala la ufisadi, cha ajabu kabisa wakamkaribisha fisadi. Kwa sasa hawaongelei tena UFISADI.Kilichobaki sasa wanasubiri jambo litokee ili nao wajitokeze. Watanzania tuwe makini na watu hawa vinginevyo watawapotosha watu wengi.
 
Unajua wewe mtoa mada unatakiwa saa nyingine uwe unatulia unapostua watu namna hii unategemea sisi tuishije???we unadhani siasa mtaji wake nini??mtaji wake watu.Zitto pamoja na kwamba ni mwanasiasa mzalendo lakini anasema;Nanukuu"Usimuamini mwanasiasa"mwisho wa kunukuu.
Kawaida wamadhabahuni anakula madhabahuni siunaelewa??majanga kwetu ni sherehe si umenisoma???kama vipi uwe unakausha.
 
Chadema mlijichanganya kwenye suala la kubadili via angani hadi leo mnakosa uhalali wa kujadili ama kuukemea ufisadi. Sasa niwatahadharishe mapemaaaaa! Suala la hawa vilaza a.k.a vihiyo wa udom achaneni nalo litawapotezea mwelekeo kabisaaa!!!

Mnatetetea vilaza waendelee kula kodi zetu!!!!??

Sio tu kwamba vihiyo wanakula kodi zetu...
Tuandae vihiyo watakaokuja kuua elimu ya vizazi vyetu
Tunalipia kutengeneza maafa
 
Kweli chadema majanga tuwe wakweli tu hawa jamaa hawajitambui kabisa hata bungeni nadhani wanakwenda kuuza sura.
 
Back
Top Bottom