Ushauri kwa viong
ozi wa chadema ni kuwa wasimshambulie Magufuli! Vinginevyo watapandikiza chuki kwa watanzania wengi wanaompenda na ni wafuasi wake binafsi wala siyo wa ccm!
Mkuu umeongea ukweli tupu........Kwa sasa haijulikani CDM inasimamia nini......mrengo wanaoufuata na Sera havijulikani.....kimekuwa chama cha matukio tu.....