Chadema ni paka mwenye roho ngumu

Chadema ni paka mwenye roho ngumu

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Wanaccm wenzangu tujitathimini sana,mbinu za kuitokomeza chadema zimekwama.
chadema amekuwa na roho ya paka kamwe haitoki.sasa ni wakati wa kutafuta mazuri ya kuwaambia watanzania na tuachane na mabaya ya chadema.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Nakuunga mkono.CHADEMA ni jiwe la pembeni waliloridharau wajenzi, sasa limekuwa jiwe kuu
 
Mungu ibariki CHSDEMA na Wanachadema wote, Mungu ibariki Tanzania na watu wake. Amina.
 
mmechelewa sana , tangu mwanzo mlitakiwa kuonyesha na si kueleza kwa mdomo kile mlichokifanya nchi hii , kwa sasa wananchi wameamua kuikabidhi cdm maisha yao yaliyosalia baada ya kupigika sana .
 
simiyu yetu ni kituko, viva chadema,ng'wana wa mayo olejimela.
 
Wanaccm wenzangu tujitathimini sana,mbinu za kuitokomeza chadema zimekwama.
chadema amekuwa na roho ya paka kamwe haitoki.sasa ni wakati wa kutafuta mazuri ya kuwaambia watanzania na tuachane na mabaya ya chadema.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Sijawahi kuona panya anaondoka sehemu yenye nafaka.

Bila sumu ya panya, huu ukoo wao hauta achia nchi. Dawa yao ni kueleza umma jinsi wanavyofilisi nchi.
 
hata watanzania ni wagumu kufanya maamuz ati
mpaka wachunwe na magambaaaa ?
 
Dawa ya chadema i chuma cha shaba wala siyo vinginevyo.

mkuu wangu unachosema ni ukwel kbc wala sina pingamizi hyo ndo silaa pekee kwa sasa ilyobakia kwa rafiki zangu ccm,,, ila nikuombe kitu ndg simiyu yetu hyo shaba ya chuma ipeleke kwanza kwenye makalio ya mke wako na watoto kama hata ni wako wa kuzaa nina wasiwasi utakuwa umepachikiwa mimba na vidume wa nje sababu unajali sana tumbo hata kuliko kuangalia mke wako anavyopigwa paipuu kwa kuendekeza michepuko nje asante,,,,,
 
Back
Top Bottom