Chadema ni chama dhaifu

mwiba
Chadema wanachojua ni kuratibu maandamo ya vurugu tu; sera hamna porojo nyingi; watataje mafisadi wakati ndani ya Chadema mna mafisadi?

Chama
Gongo la mboto DSM

ww nawe upeo wa kufikiri upo sawa na waandishi wa radio iman.
 
Dooh!! umemsahau yule dhaifu wa kiroho? Aliyekimbia wito wa Bwana kwa sababu ya ngono? Hivi mtamuoza lini hamuoni hatari ya kuwa kiongozi mzinifu?

Chama
Gongo la mboto DSM
Sikia kauli za watu DHAIFU
"... Maoni yenu ni ya kweli kabisa lakini naogopa wenzangu katika CCm, nikiwakubalia ninyi hawatanielewa .." By M/kiti wa *cm.
"..... Unajua ni kama CHADEMA imeishachukua uongozi wa nchi hapo 2015..." By B. M*mb*. Huyu alivyodhaifu zaidi akakana.
 
CCM ni chama imara sana, kama inaweza kuendesha operation ondoa Ulimboka kwakweli lazima tukiri CCM ni chama imara.

 
ww nawe upeo wa kufikiri upo sawa na waandishi wa radio iman.

ahahaa!! kweli Chadema ni mtambo wa kuzalisha mapimbi yaani wapo wengi sana hata kwenye ukweli mnataka kubishana?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ni kweli chadema ni chama dhaifu. Mi wameniacha hoi kauli zao zinavyopishana tu. Pinda ambaye ndio katibu wao Alisema ZNZ ni nchi halafu Werema ambaye ndio mwenezi akasema ZNZ sio nchi. Kali zaidi ya juzi hii ya Naibu katibu wao alipoomba msaada EU kuhusu kuchunguzwa kwa sakata la meli za Iran kuwa na flag za TZ. Da kweli CDM dhaifu kaka.
 

teh teh teh haya bwana waambie ulikuwa unatania tu, na huwa unaongea kinyumenyume.
kwani hata Sitta anajua nani dhaifu kati ya CHADEMA na nyinyiem
 
Dooh!! umemsahau yule dhaifu wa kiroho? Aliyekimbia wito wa Bwana kwa sababu ya ngono? Hivi mtamuoza lini hamuoni hatari ya kuwa kiongozi mzinifu?

Chama
Gongo la mboto DSM
Hatari tumeishaiona tayari! tunaiona na tutaendelea kuiona hadi 2015!.
 
kwangu mimi naona cdm ni kama kikundI cha SACCOS,wote wachumia matumbo,nimewachoka sana hawana jipya
 
Achana naye huyu ***** wa CCM maana hasipoitaja CDM kwa siku huwa hapati furaha. CCM dhaifu
 

Huhitaji kumsubiri mtu kujua UDHAIFU na UPUUZI wa CHAMA na WANACHAMA WAKE
NB Naibu katibu wao ni B. M*mb*.
 
Hivi thread bila kuiandika CHADEMA haiwezi kusomwa hapa jf. Kweli nimeamini maisha bila CDM hayawezi kuwepo. Hivi mioyo yenu haidundi bila CHADEMA?
Kifo cha CUF kimesababisha matatizo ya akili kwa wapenzi wake,kila siku ni kukashifu CDM na Wakiristo hasa Wakatoliki utadhani ndiyo walikua washenga wakati wanaolewa na CCM!
 
Mfa maji hakosi kutapatapa. Benki zetu mbinafsishe ninyi magamba,bila aibu mnajilopokea eti mirabaha ya kodi kwenye madini imeongezeka toka 3% hadi 4%,hii inamaanisha kila baada ya miaka 13 inapanda 1% ndani ya miaka hamsini ya uhuru. Baada ya hapo wanaccm mnasema ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI...Zidumu.Mnamvisha suti Mwenyekiti wenu ili aende kuomba omba kwa kutia huruma kama nchi zenye vita. Sijui ni kwa nini mtu anapokuwa ccm anapungukiwa uwezo wa kufikiri.Utakuta mtu anashabikia usafirishaji haramu wa wanyamapori,anashabikia TBL kutoa kodi kwa uwiano sawa na Barrick Gold Mining,mtu wa ccm anashabikia mfumuko wa bei unaowezekana kuudhibiti...Mwanaccm anashabikia taifa kutumia fedha za aina mbili hivyo kulipotezea sifa ya utambulisho kupitia national currency...Hivi ninyi wanaccm mnalishwa nini hadi hamuoni udhaifu huu badala yake mnautukuza? Hence proved:TUMEFIKA HAPA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAIS KIKWETE,UDHAIFU WA BUNGE NA KWA SABABU YA UPUUZI CCM!
 

Mpaka hapo huhitaji kuenelea kusoma unajua hapa hakuna kisomo
 
kwangu mimi naona cdm ni kama kikundI cha SACCOS,wote wachumia matumbo,nimewachoka sana hawana jipya
N abado mpaka wakufikishe kileleni na bado hiyo ni rasharasha
 
kweli kishetani zaidi

hapo sawa kabisa! CCM kwenye miji yenye watu makini hawana hata la kusema. Majuzi walifanya mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa vijana Kata ya Igoma, ilibidi wapeane bila kupiga kura. Mkutano huo ulifanyika Vatcan village, waliishia kula mawali na maharage.
CCM dhaifu na udhaifu wake unatokana na viongozi wake kuwa na uchu si wa madaraka - tu mali mali. Ni walafi sana! Hawapendani,
Hawapendeki,
 

good thinking
 
Unajua CDM siku hizi inakwenda kichwa kichwa ,walizani watu wote ni mambutwai ,yaliyowakuta Kusini ni aibu tupu.
 
ZOMBA,RTZ1,MWIBA,na wengineo inaonekana mnawashwa kweli,halafu hakuna mtu wa kuwakuna miwasho yenu!:spy::spy::spy:
 
ahahaa!! kweli Chadema ni mtambo wa kuzalisha mapimbi yaani wapo wengi sana hata kwenye ukweli mnataka kubishana?

Chama
Gongo la mboto DSM

ndio nyie ambao huwa mnaosema eti shangazi ni baba wa kike.

Subuhana watarah akuhurumie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…