CHADEMA Naiaminia!

CHADEMA Naiaminia!

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
Naikubali sana CDM.

Ni Chama kilichoweza kuwagharimu sana mafisadi, majangili, wauza unga, na vibaraka wanauza nchi kwa wakoloni wa leo wanaojiita wawekezaji.

Kila wakilala wanawaza Chadema utadhani ndio chama pekee cha upinzani.

Lakini kubwa zaidi kupitia jitihada za Chadema kuwakomboa Watanzania, tumeweza angalau kujua kuwa kumbe nchi yetu ina utajiri unaoporwa na mabepari na vibaraka wao.

CHADEMA Naiaminia !
 
Ni chama pekee ambazo viongozi wake ni wababe kwa wake za watu, huku ndoa zao zimewashinda, pia ni chama ambacho hakijafanya maendeleo yoyote japo kinapata ruzuku kubwa na wafadhiri wenge wa nje na ndani, ajabu ni kwamba hata wafuasi hawana jeuri ya kuhoji mapato na matumizi kwa kuonekana wasariti, ni chama ambacho licha ya Kuwa na wabunge 49 lakini makao makuu ni kinondoni Ufipa street mtaa wa wauza unga na na mateja na nyuma ni makaburi pia ni chimbo la dada poa, cha kusikitisha ni kwamba wamepanga eti bei nafuu! PEOPLEEEEE!!!!!
 
Ni chama pekee ambazo viongozi wake ni wababe kwa wake za watu, huku ndoa zao zimewashinda, pia ni chama ambacho hakijafanya maendeleo yoyote japo kinapata ruzuku kubwa na wafadhiri wenge wa nje na ndani, ajabu ni kwamba hata wafuasi hawana jeuri ya kuhoji mapato na matumizi kwa kuonekana wasariti, ni chama ambacho licha ya Kuwa na wabunge 49 lakini makao makuu ni kinondoni Ufipa street mtaa wa wauza unga na na mateja na nyuma ni makaburi pia ni chimbo la dada poa, cha kusikitisha ni kwamba wamepanga eti bei nafuu! PEOPLEEEEE!!!!!

Acha kuzusha uongo kaka.chadema ndio mkombozi wa nchi hii
 
Ni chama pekee ambazo viongozi wake ni wababe kwa wake za watu, huku ndoa zao zimewashinda, pia ni chama ambacho hakijafanya maendeleo yoyote japo kinapata ruzuku kubwa na wafadhiri wenge wa nje na ndani, ajabu ni kwamba hata wafuasi hawana jeuri ya kuhoji mapato na matumizi kwa kuonekana wasariti, ni chama ambacho licha ya Kuwa na wabunge 49 lakini makao makuu ni kinondoni Ufipa street mtaa wa wauza unga na na mateja na nyuma ni makaburi pia ni chimbo la dada poa, cha kusikitisha ni kwamba wamepanga eti bei nafuu! PEOPLEEEEE!!!!!

Ulitaka wakuoe wewe hapana chadema hawaendekezi ushoga. Ukitaka ushoga nenda nchi ya ksmrruni uko utaolewa Mapema
 
Ni chama pekee ambazo viongozi wake ni wababe kwa wake za watu, huku ndoa zao zimewashinda, pia ni chama ambacho hakijafanya maendeleo yoyote japo kinapata ruzuku kubwa na wafadhiri wenge wa nje na ndani, ajabu ni kwamba hata wafuasi hawana jeuri ya kuhoji mapato na matumizi kwa kuonekana wasariti, ni chama ambacho licha ya Kuwa na wabunge 49 lakini makao makuu ni kinondoni Ufipa street mtaa wa wauza unga na na mateja na nyuma ni makaburi pia ni chimbo la dada poa, cha kusikitisha ni kwamba wamepanga eti bei nafuu! PEOPLEEEEE!!!!!

Mijitu kama hii mara nyingi ikifika mjini bass inakuwa imeona pepo teh teh eee hiyo Dar- es ulikuwa bush kubwa tuu kama kule kwenu eti waishangaa kinondoni why:what:
 
Akili yako mwenyewe kama chadema kwahiyo wote mmekutana zimepunyuliwa upande kwanini msiimbe wimbo mmoja.
 
Chadema hata ndugu k.i.k.w.e.t.e analitambua hilo mbona! Baraza la MAMIZIGOO KALIVUNJA MARA NGAPI?

Peaplesss M4C daima★
 
Chadema hata ndugu k.i.k.w.e.t.e analitambua hilo mbona! Baraza la MAMIZIGOO KALIVUNJA MARA NGAPI?

Peaplesss M4C daima★
Unazungumzia bawacha au bavicha mabaraza ambayo mpaka utembee na wenye chama ndiyo uwe mjumbe ukikataa wanakutimua.
 
Unazungumzia bawacha au bavicha mabaraza ambayo mpaka utembee na wenye chama ndiyo uwe mjumbe ukikataa wanakutimua.

Huko uliko wamekuteuwa balozi au mwenyekiti? Bila shaka hofu imekujaa sana ndugu kalogge bs!
 
...dadeki pigo la sasa ni kali,ccm wanatafuta pa kutokea,mara viongozi hawafai kugombea mara hawajajenga ofisi kwani cdm imekuwa shirika la nyumba...
 
Back
Top Bottom