kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Tujikumbushe ndugu wanajamvi mlolongo wa operations za chadema.
1. Operation ufisadi
2. Operation pinga matokeo ya urais 2011.
3. Operation dhoofisha serikali ya Kikwete 2011 kwa lengo la kutaka wananchi waikatae kama ilivyotokea Libya, Tunisia na Misri.
4. Operation hamasisha migomo ya walimu na madaktari.
5. Operation sangara
6. Operation M4C
7. Operation chadema msingi
8. Operation vuruga mchakato wa katiba
9. Na sasa, Operation M4C pamoja daima.
Kimsingi ndugu wanabodi, pamoja na uwingi wote huo wa operations hata siku moja chadema hawajawahi kutupa feedback wanachadema , mashabiki na watanzania kwa ujumla juu ya mafanikio ya orodha hiyo ya operations.
My take: Operations za chadema ni utengenezaji wa ulaji wa fedha za ruzuku. Ingefaa chadema, pamoja na mambo mengine ijikite pia katika uimarishaji wa ofisi za chama kuanzia makao makuu hadi zalau Wilaya. Hadhi ya ofisi za chama kuanzia taifa zinatia kichefuchefu. Yaani hazifanani na jina la chama. Pia chadema ijitahidi kutafuta wanachama wenye akili timamu. Huwezi kuwa na wanachama machizi na wanywa viroba ukaota watu wakupe ikulu, never!. Anayebishana na ukweli huu afanye utafiti juu ya aina ya wanachama na viongozi wa chadema iliyonao, kuanzia viongozi. Wengi wao ni rejects ama katika jamii au kwenye ajira zao. Wengi wa wanachama wa chadema wamelewa viloba muda wote, ni wasema hovyo, matusi kwao ni kawaida. Sasa mtu unajiuliza juu ya watu hawa ambao wanaitaka ikulu kwa nguvu zote, unakata tamaa kabisa ya kuishi ktk nchi hii.
1. Operation ufisadi
2. Operation pinga matokeo ya urais 2011.
3. Operation dhoofisha serikali ya Kikwete 2011 kwa lengo la kutaka wananchi waikatae kama ilivyotokea Libya, Tunisia na Misri.
4. Operation hamasisha migomo ya walimu na madaktari.
5. Operation sangara
6. Operation M4C
7. Operation chadema msingi
8. Operation vuruga mchakato wa katiba
9. Na sasa, Operation M4C pamoja daima.
Kimsingi ndugu wanabodi, pamoja na uwingi wote huo wa operations hata siku moja chadema hawajawahi kutupa feedback wanachadema , mashabiki na watanzania kwa ujumla juu ya mafanikio ya orodha hiyo ya operations.
My take: Operations za chadema ni utengenezaji wa ulaji wa fedha za ruzuku. Ingefaa chadema, pamoja na mambo mengine ijikite pia katika uimarishaji wa ofisi za chama kuanzia makao makuu hadi zalau Wilaya. Hadhi ya ofisi za chama kuanzia taifa zinatia kichefuchefu. Yaani hazifanani na jina la chama. Pia chadema ijitahidi kutafuta wanachama wenye akili timamu. Huwezi kuwa na wanachama machizi na wanywa viroba ukaota watu wakupe ikulu, never!. Anayebishana na ukweli huu afanye utafiti juu ya aina ya wanachama na viongozi wa chadema iliyonao, kuanzia viongozi. Wengi wao ni rejects ama katika jamii au kwenye ajira zao. Wengi wa wanachama wa chadema wamelewa viloba muda wote, ni wasema hovyo, matusi kwao ni kawaida. Sasa mtu unajiuliza juu ya watu hawa ambao wanaitaka ikulu kwa nguvu zote, unakata tamaa kabisa ya kuishi ktk nchi hii.