Wakitangaza leo katika ofisi ya NCCR mageuzi ilala jijini Dar es salaam, chama cha NCCR MAGEUZI kimefuta kesi iliyokuwa imefunguliwa na mwenyekiti wa chama hicho mh. francis mbatia dhidi ya halima james mdee mbunge wa kawe aliyekuwa akitoa matusi ya nguoni dhidi ya mbatia, taarifa nilizo zipata kutoka kwenye vyanzo vyangu vya habari ni kuwa kesi hiyo ilikuwa inamuendea vibaya Halima mdee kwa hiyo viongozi wa chadema wameamua kwenda kuwapigia magoti viongozi wa NCCR na kuwapa pesa kama fidia na kuahidi kuwashirikisha katika serikali yao kivuli ya upinzani waliounda ndani ya bunge, je uundaji wa ushirikiano wa namna hii? je utadumu?