CHADEMA na CCM wakutana msibani

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
31,821
Reaction score
36,519
Mbalizi, Tunduma Road
Tanzania

VITUKO MSIBANI CHADEMA NA CCM WASHIKANA PABAYA KILA MMOJA AONYESHA UWEZO WAKE


View: https://m.youtube.com/watch?v=IIW7fpPFuj8
Kufuatia msiba mzito wa aliyekuwa mwanachama kindakindaki kamanda wa CHADEMA aliyegusa maisha ya wakaazi wa Tunduma Road Mbalizi, viongozi wa vyama hivi vikuu vya siasa Tanzania wakutana msibani na kama ilivyo kawaida siasa ni maisha viongozi watumia shughuli hiyo kusisitiza yanayokuja 2024 / 2025 kama ufunguzi wa daftari la mpiga kura linaloanza kuhakikiwa na kuandukisha wapiga kura wapya kuanzia Julai Mosi yaani Julai 1 ,2024 nchini kote zoezi hili muhimu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…