Sexer JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 8,504 Reaction score 8,253 May 10, 2015 #1 Huu ni mkutano wa viongozi wa kanda ya ziwa victoria ulioongozwa na katibu wa kanda pamoja na mwenyekiti wa mkoa geita kamanda mawazo Hivi bila mzito kabwela kile cha cha zambarau kinaweza kufanya mkutano na watu wakajitokeza?!
Huu ni mkutano wa viongozi wa kanda ya ziwa victoria ulioongozwa na katibu wa kanda pamoja na mwenyekiti wa mkoa geita kamanda mawazo Hivi bila mzito kabwela kile cha cha zambarau kinaweza kufanya mkutano na watu wakajitokeza?!
R Regina1 Senior Member Joined Apr 1, 2015 Posts 106 Reaction score 85 May 10, 2015 #2 Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki UKAWA
W wambura mwita Member Joined May 8, 2015 Posts 17 Reaction score 2 May 10, 2015 #3 Chadema mwendo mdundo mpaka kieleweke
The Palm Tree JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 7,950 Reaction score 12,548 May 10, 2015 #4 ACT ni Zito na Zito ndiyo ACT....hakuna popote hawa washkaji watafanya kusanyiko pasipo Zito wakapata hata watu kumi!!.
ACT ni Zito na Zito ndiyo ACT....hakuna popote hawa washkaji watafanya kusanyiko pasipo Zito wakapata hata watu kumi!!.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 57,960 Reaction score 134,051 May 10, 2015 #5 Kazi ya Mawazo imetukuka,Mungu mbariki Kamanda Mawazo,Mungu ibariki Chadema
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 54,137 Reaction score 43,219 May 10, 2015 #6 Chadema wamevurungwa sana kila kwenye shughuli zao lazima wamtaje Zitto. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
K Kicheba One JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 399 Reaction score 194 May 10, 2015 #7 اصصىزششرر
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #8 Ritz said: Chadema wamevurungwa sana kila kwenye shughuli zao lazima wamtaje Zitto. Click to expand... Uhai wa CHADEMA unatokana na Zitto. Kwa sasa wanahaha kumchafua lakini ndo kwanza wanampaisha kisiasa
Ritz said: Chadema wamevurungwa sana kila kwenye shughuli zao lazima wamtaje Zitto. Click to expand... Uhai wa CHADEMA unatokana na Zitto. Kwa sasa wanahaha kumchafua lakini ndo kwanza wanampaisha kisiasa
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #9 Kicheba One said: اصصىزششرر Click to expand... Kicheba ndo umeandika ni i? Sisi wengine hatujui lugha ya kiarabu
Kicheba One said: اصصىزششرر Click to expand... Kicheba ndo umeandika ni i? Sisi wengine hatujui lugha ya kiarabu
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 57,960 Reaction score 134,051 May 10, 2015 #10 Ritz said: Chadema wamevurungwa sana kila kwenye shughuli zao lazima wamtaje Zitto. Click to expand... mpaka umezeekea humu JF hujawahi kuwa na msuli wa kututikisa.tumekuzoea na maneno yako ya kanga Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ritz said: Chadema wamevurungwa sana kila kwenye shughuli zao lazima wamtaje Zitto. Click to expand... mpaka umezeekea humu JF hujawahi kuwa na msuli wa kututikisa.tumekuzoea na maneno yako ya kanga
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #11 PHP: wapinzani wote wamevurugwa
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #12 CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao
CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #13 CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao
CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 May 10, 2015 #14 OKW BOBAN SUNZU said: mpaka umezeekea humu JF hujawahi kuwa na msuli wa kututikisa.tumekuzoea na maneno yako ya kanga Click to expand... Pole sana mama. Vipi ule ujauzito wako unaendeleaje? Umeshajifungua?
OKW BOBAN SUNZU said: mpaka umezeekea humu JF hujawahi kuwa na msuli wa kututikisa.tumekuzoea na maneno yako ya kanga Click to expand... Pole sana mama. Vipi ule ujauzito wako unaendeleaje? Umeshajifungua?
T2015CCM JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 7,930 Reaction score 990 May 10, 2015 #15 Ukawa ni killers
N Nikukumbushe JF-Expert Member Joined Jun 4, 2013 Posts 2,602 Reaction score 408 May 10, 2015 #16 Wewe njaa tu iliyokuweka ccm sio mshabiki. Hujawahi kuongea point. CCM ni chama kinachojifia lakini sijawahi hata kusikia ushauri wako. Lizaboni said: CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao Click to expand...
Wewe njaa tu iliyokuweka ccm sio mshabiki. Hujawahi kuongea point. CCM ni chama kinachojifia lakini sijawahi hata kusikia ushauri wako. Lizaboni said: CHADEMA wakifanikiwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini nitaacha kuishabikia CCM. Uchaguzi ujao chadema hawana chao Click to expand...
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 57,960 Reaction score 134,051 May 10, 2015 #17 Lizaboni said: Pole sana mama. Vipi ule ujauzito wako unaendeleaje? Umeshajifungua? Click to expand... nipe tako ujue kama mimi ni mama au Mandingo
Lizaboni said: Pole sana mama. Vipi ule ujauzito wako unaendeleaje? Umeshajifungua? Click to expand... nipe tako ujue kama mimi ni mama au Mandingo
T2015CCM JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 7,930 Reaction score 990 May 10, 2015 #18 OKW BOBAN SUNZU said: Kazi ya Mawazo imetukuka,Mungu mbariki Kamanda Mawazo,Mungu ibariki Chadema Click to expand... Wewemawazo na the like ni mburula..wafu wanaotembea
OKW BOBAN SUNZU said: Kazi ya Mawazo imetukuka,Mungu mbariki Kamanda Mawazo,Mungu ibariki Chadema Click to expand... Wewemawazo na the like ni mburula..wafu wanaotembea
N Nikukumbushe JF-Expert Member Joined Jun 4, 2013 Posts 2,602 Reaction score 408 May 10, 2015 #19 Can you prove beyond a reasonable doubt? T2015CCM said: Ukawa ni killers Click to expand...
W wambura mwita Member Joined May 8, 2015 Posts 17 Reaction score 2 May 10, 2015 #20 Tundu lissu alishasema kumuongelea zitto nikumpa sifa zisizostahili