CHADEMA mwisho wao 2015. Mmelewa sifa.

CHADEMA mwisho wao 2015. Mmelewa sifa.

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
539
Reaction score
648
Siasa ndani ya chama cha CHADEMA hazielekei kwenye kujenga CHADEMA imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CHADEMA hawaelekezi nguvu zao vijijini ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha Nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano Mererani, Iringa, Jangwan au Arusha, hutasikia wamefanya mkutano huko Ishozi au Kilambu Ntima.

Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.

Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.
 
Siasa ndani ya chama cha CDM hazielekei kwenye kujenga CDM imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CDM hawaelekezi nguvu zao vijijin ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano mererani, iringa, jangwan au arusha hutasikia wamefanya mkutano huko ishozi au kilambu ntima. Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba j
huwa vinavuma muonngo mmja au miwili vinakumbwa na migogoro kamaCDM sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake. My take CDM kwa sasa inafata mkumbo huohuo.
Umechemka sana kwa kufanya mlinganyo huo.
 
Dua la kuku halimpati mwewe daima,inaonyesha una chuki binafsi.Hivyo basi,inaufanya ushauri wako wote kuwa batili!CHADEMA itakufa,CCM itadumu daima na milele,hata yesu atakaporudi kuwahukumu wazima na wafu ataikuta CCM ipo madarakani!
 
Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.
Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.
My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.

Umeshageuka Shehe Yahya siku hizi!...
 
Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.

Hapo CUF unawaonea tu. Mbona kwa kila kipimo kinaonesha kimekua ila hakisikiki sana kama CDM. idadi ya majimbo ya ubunge ni mengi kuliko chama kilivyokuwa kimeanzishwa. Therefore, wanahitaji kujipanga vizuri tu kwenye media.
 
Kwa kuwa hatuwezi kukushika mkono wako ili kuzuia unachotaka kukiandika kwa lengo la kujaza ukurasa, basi na fanya hivyo. Tumesoma na tumekuelewa. Kama unaweza kutoa ushauri wa namna hiyo kwa cdm ambacho si chama, kwanini usitoe ushauri huo kwa ccm ambao wanakwenda kuachia nchi hapo 2015?
Tafakari.
 
Alawatani kizigo naibu katibu mkuu uvccm na mjumbe wa baraza kuu la uvccm.
 
Siasa ndani ya chama cha CHADEMA hazielekei kwenye kujenga CHADEMA imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CHADEMA hawaelekezi nguvu zao vijijini ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha Nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano Mererani, Iringa, Jangwan au Arusha, hutasikia wamefanya mkutano huko Ishozi au Kilambu Ntima.

Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.

Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.
Hivi nyie watu msiojitambua mtatumika mpaka lini kama cond.om?!!!!!
 
Siasa ndani ya chama cha CHADEMA hazielekei kwenye kujenga CHADEMA imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CHADEMA hawaelekezi nguvu zao vijijini ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha Nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano Mererani, Iringa, Jangwan au Arusha, hutasikia wamefanya mkutano huko Ishozi au Kilambu Ntima.

Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.

Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.

kweli bado kunawatu wako usingizini wakiota kama wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! subiria!!!!!2015
 
mtu mwenyewe umejiunga juzi tu ili kuleta majungu, gamba wewe....

Nakuunga mkono, wote wliojiunga hivi karibuni naona wameingia jamvini kwa kazi ya kuishambulia CHADEMA! Je, wataweza?
 
Siasa ndani ya chama cha CHADEMA hazielekei kwenye kujenga CHADEMA imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CHADEMA hawaelekezi nguvu zao vijijini ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha Nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano Mererani, Iringa, Jangwan au Arusha, hutasikia wamefanya mkutano huko Ishozi au Kilambu Ntima.

Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.

Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.

hapo kwenye nyekundu, haiwezekani kutoweka bila SLAA na MBOWE kutoka kwenye nafasi wanazozishikilia. Ni lazima waachie ngapi ndipo, vitisho, ubaguzi na ubabe havitakuwepo.
 
Siasa ndani ya chama cha CHADEMA hazielekei kwenye kujenga CHADEMA imara hata kidogo.Sasa hivi kumetawaliwa na siasa za ubaguzi wa aina mbalimbali vitisho na ubabe chuki, ujasusi , uchawi, visasi, makundi, na uhafidhina. Wana CHADEMA hawaelekezi nguvu zao vijijini ambako bado kuna wapiga kura wanaosema nakipigia kura chama cha Nyerere, kila siku utasikia wamefanya mkutano Mererani, Iringa, Jangwan au Arusha, hutasikia wamefanya mkutano huko Ishozi au Kilambu Ntima.

Historia ya vyama vya upinzani nchin humu ni kwamba huwa vinavuma muonngo mmoja au miwili vinakumbwa na migogoro kama CHADEMA sasa hivi kisha vinapotea kama havikuwepo vile.

Wapi Augustine Lyatonga Mrema na NCCR yake Lipumba na CUF yake.

My take CHADEMA kwa sasa inafata mkumbo huohuo.

Hivi hii CHADEMA mtaitetea mpaka lini, mbona ni wazi kuwa mwisho wao umewadia, huko 2015 mbali sana.
 
Nakuunga mkono, wote wliojiunga hivi karibuni naona wameingia jamvini kwa kazi ya kuishambulia CHADEMA! Je, wataweza?

wanaishambulia CHADEMA au wanasema ukweli. Unajua siasa ndani ya vyama ni kama upepo, leo utavuna kutoka kusini kwenda kaskazini, kesho utatoka kaskazini kwenda kusini, magharibi kwenda mashariki n.k. Hii ni zamu ya CHADEMA kulipuliwa, na hiyo ni ishara kuwa hakuna chama ambacho kina uhakika wa asilimia 70 kuwa kinapendwa. Kinapendwa tu pale ambapo hali iko shwari, kikianza vurugu lazima kikumbane na kimbunga, nashangaa sana mnaokikingia kufua wakati wenyewe wameshindwa kujikingia kifua.
 
Sasa hivi kuna Chadema mbili tayari mpasuko huo...sasa hivi nikuchochea kuni mbichi tu moto uzidi kuwaka.
 
Tofauti ya CHADEMA na NCCR au CUF ipo kwenye uhuru wa wanachama.Endapo wanachama wa CHADEMA wangekuwa na nidhamu ya woga basi msingejua lolote la msingi likijadiliwa hadharani kama wafanyavyo wafuasi wa CHADEMA hapa JF.Huu ni mfano kwamba chama hicho kitadumu muda mrefu kwa kuwa wafuasi wake wako tayari kuambiana ukweli kisha watapatana. Kujiaminisha kwamba chama ili kidumu hakihitaji migogoro ni fikra changa sana,kwa upembuzi yakinifu chama kina watu wenye tabia,maono,tamaa,nia na fikra tofauti hivyo hawawezi kuwa sawa sawa siku zote.Tukisema CHADEMA kitakufa kwa kuwa wanakosoana hadharani,je tuseme ccm kitadumu kwa ufisadi mkubwa uliofanywa ndani ya chama huku tukishuhudia wapinga rushwa wa awali (Nape) wakiungana na watuhumiwa wa rushwa (Lowassa) ?
 
Back
Top Bottom