Chadema muheza hongereni kwa ubunifu kuntu

Chadema muheza hongereni kwa ubunifu kuntu

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
886
Reaction score
206
Wana jamvi katika mambo leo yamenifanya nipate faraja na chadema muheza ni ubunifu mkubwa walio kuja nao,leo kamati ya utendaji ya chadema(w) katika kikao chake cha leo cha maandalizi ya uchaguzi pamoja na mambo mengine kubwa lenye tija kwa chama ni kupitisha azimio la kuunda kamati maalum ya maridhiano yenye wazee na wakongwe wasiasa ikiwa chini ya mwenyekiti wa chadema mkoa na mwenyekiti wa chadema wazee mkoa,kamati hiyo itakayo kuwa na majukumu;1;kuwakutanisha katika kikao cha pamoja wagombea wote wa nafasi za uongozi ndani ya chama;2;kukaa na wagombea wote na kuwapa nasaha juu ya uchaguzi ndani ya chama;3;kuwa andaa wagombea kisaikolojia kwa matokeo yeyote watakayo pata kila mmoja wao;4;kuwapanga kuwa timu moja katika chama kuepuka makundi,kuchafuana na pia kujihadhara na rushwa;5;kuwapa miongozo,kanuni na taratibu za chama kama wagombea;6;kuwaandaa vyema kukabiliana na hofu ya kushindwa ama kushinda;7;kuwajengea uwezo wa kukipenda chamana kuwapenda wagombea wenzake-9/8/2014 uchaguzi chadema muheza
 
Karibuni muheza wanachama 53 wachukua fomu kugombea nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa 9/8/2014,kwa mazingira hayo ushauri nilio utoa katika kikao cha kamati ya utendaji wa kuwa na kamati ya maridhiano kwa wagombea wajumbe wakaipitisha kuwa hoja yenye afaya kwa chama ndipo wakaunda timu ya wajumbe wazito watakao toa nasaha hizo,wajumbe hao wameipitisha kwa pamoja
 
Wana jamvi katika mambo leo yamenifanya nipate faraja na chadema muheza ni ubunifu mkubwa walio kuja nao,leo kamati ya utendaji ya chadema(w) katika kikao chake cha leo cha maandalizi ya uchaguzi pamoja na mambo mengine kubwa lenye tija kwa chama ni kupitisha azimio la kuunda kamati maalum ya maridhiano yenye wazee na wakongwe wasiasa ikiwa chini ya mwenyekiti wa chadema mkoa na mwenyekiti wa chadema wazee mkoa,kamati hiyo itakayo kuwa na majukumu;1;kuwakutanisha katika kikao cha pamoja wagombea wote wa nafasi za uongozi ndani ya chama;2;kukaa na wagombea wote na kuwapa nasaha juu ya uchaguzi ndani ya chama;3;kuwa andaa wagombea kisaikolojia kwa matokeo yeyote watakayo pata kila mmoja wao;4;kuwapanga kuwa timu moja katika chama kuepuka makundi,kuchafuana na pia kujihadhara na rushwa;5;kuwapa miongozo,kanuni na taratibu za chama kama wagombea;6;kuwaandaa vyema kukabiliana na hofu ya kushindwa ama kushinda;7;kuwajengea uwezo wa kukipenda chamana kuwapenda wagombea wenzake-9/8/2014 uchaguzi chadema muheza

safi sana ccm muheza 2015 kwishaa...sasa chama kina makamanda Wa uhakika wenye uwezo na baada ya uchaguzi wa ndani tunaingia mzigoni mpaka kieleweke!
 
Back
Top Bottom