prezdesho
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 150
- 79
Hivi mnafikiri kila sehemu kuna maigizo mlianza hatumtambui raisi tukawaambia sawa hamuwezi kumtambua kwakuwa hamja mpigia kura wacha tulio mpigia tumtambue
Mkaja kaanza kwa mbwembwe tu mbona fulani alifanya mlipoona anazidi kumaliza team lowassa bandarini na tra mkakaa kimya mkajua kweli hatanii
Mkaja kwani anachelewa kuchagua baraza atafanyaje kaxi mwenyewe lengo muone udogo bahati nzuri akatangaza mka kaa kimya kwa muda
Baadae mkaanza mbona sura zile zile tukawaambia mji hauendi bila wazee mkatafuta lengine mbona muhongo fisadi karudi tukawaa mbia mbona lowassa fisadi papa alikuwa mgombea wenu hamkuliona kwenu mnaliona kwa magufuli
Wakaja makatibu wengi bado vile vile hajapunguza lolote tukawaomba tofauti kati ya kikwete na magufuli mnatulete uwongo makatibu 22 kwa kikwete umeona wapi
Sasa mnakuja elimu bure uwongo......sasa tunasema endeleeni kuimba taarabu sisi SASA KAZI TU
Mkaja kaanza kwa mbwembwe tu mbona fulani alifanya mlipoona anazidi kumaliza team lowassa bandarini na tra mkakaa kimya mkajua kweli hatanii
Mkaja kwani anachelewa kuchagua baraza atafanyaje kaxi mwenyewe lengo muone udogo bahati nzuri akatangaza mka kaa kimya kwa muda
Baadae mkaanza mbona sura zile zile tukawaambia mji hauendi bila wazee mkatafuta lengine mbona muhongo fisadi karudi tukawaa mbia mbona lowassa fisadi papa alikuwa mgombea wenu hamkuliona kwenu mnaliona kwa magufuli
Wakaja makatibu wengi bado vile vile hajapunguza lolote tukawaomba tofauti kati ya kikwete na magufuli mnatulete uwongo makatibu 22 kwa kikwete umeona wapi
Sasa mnakuja elimu bure uwongo......sasa tunasema endeleeni kuimba taarabu sisi SASA KAZI TU