CHADEMA msituchokoze

Futa machozi basi!
 
Fanya rejea ya leo ya Mh Mwigulu.. Kisha tulia chini.

Sawa!
 
sisi ndio waasisi wa siasa za uana harakati ndio zetu tuliza mshono
 
Hapo kampeni za udiwani zimeshawalemea
 
Ohooooo....... Kuna kupekekwa Nairobi Kwa Ndege. Shauri yenu
 
Acheni utekaji nankulitumia jeshi la polisi msijifanye wastaarabu wakati mna roho mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…