Chukua cha maana tu
Member
- May 7, 2013
- 49
- 10
Hivi karibuni nilipata kulitembelea jimbo la ngudu lililopo wilaya ya kwimba mkoani mwanza ki ukweli inasikitisha.Licha kuwa moja ya wilaya kongwe ambayo imezaa wilaya za magu na misungwi lakini hakuna maendeleo yoyote,kipande cha barabara kutoka Mabuki kupita Malemve,Jojilo hadi ngudu hakuna tangu uhuru achilia mbali ile km 1 ya rami.
Maisha ni magumu balaa licha ya wanakiji kujitahidi kutafuta maendeleo lakini bado wanakwamishwa na serikali yao kijiji kama Hungumalwa kukosa umeme hii ni aibu.
CHADEMA 2010 kama mngekuwa makini na kumsimamisha mtu mtu mwenye uchungu na maisha ya watu wa jimbo hili mngeshinda.
Ushauri wangu kwenu safari hii anzieni kwenye ofisi tangu niijuwe ofisi yenu ya wilaya karibu na msikiti sijawahi kuiona ikiwa imefunguliwa nadhani mara ya mwisho kufunguliwa ilikuwa baada ya uchaguzi 2010.
Jitahidini kutukomboa nyie ndio tegemeo letu wenzenu wameua hadi zao la pamba amvalo ndio lilikuwa zao mama la bishara,jineri zote zimekuwa magofu.
CHUKUA CHA MAANA TU
Maisha ni magumu balaa licha ya wanakiji kujitahidi kutafuta maendeleo lakini bado wanakwamishwa na serikali yao kijiji kama Hungumalwa kukosa umeme hii ni aibu.
CHADEMA 2010 kama mngekuwa makini na kumsimamisha mtu mtu mwenye uchungu na maisha ya watu wa jimbo hili mngeshinda.
Ushauri wangu kwenu safari hii anzieni kwenye ofisi tangu niijuwe ofisi yenu ya wilaya karibu na msikiti sijawahi kuiona ikiwa imefunguliwa nadhani mara ya mwisho kufunguliwa ilikuwa baada ya uchaguzi 2010.
Jitahidini kutukomboa nyie ndio tegemeo letu wenzenu wameua hadi zao la pamba amvalo ndio lilikuwa zao mama la bishara,jineri zote zimekuwa magofu.
CHUKUA CHA MAANA TU