Mods mumezoea kunipiga ban jee choko kama huyu post yake inakubalika hapa jamvini kwa kuwa ni mccm?
Tundu Lissu anatoshaKwa sasa chadema hakuna potential mgombea urais 2020/2025! Hakuna.
Unachekesha kweli. Asilimia 98 ya wanachadema ni wasaka tonge waliotokea ccm. Sasa unatueleza nini. kajifunze kujenga hoja bado haujashawishi watuMabaki ya ccm hayafai kwa upinzani, ccm wanajaribu kutengeza movie ili afukuzwe mwengine aje chadema apate nafasi ya kugombea urais na kuzima vuguvugu la mageuzi ya wananchi kama alivyo fanya lowasa.
Hivi wachangiaji mnakumbuka sheria imetungwa na bunge mwaka Jana . ili uweze kugombea ni sharti uwe umedumu kwenye chama miaka miwili kabla ya uchaguzi. Chama dola kiliumizwa sana na ENLowassa, hawataki tena hali ile ijitokeze. Ile fedheha inatosha ,kura 6 mil. Upinzani haiwezi kuruhusiwa na chama dola tena. Membe akihama Leo hana sofa ya kugombea chadema( bado miezi 12uchaguzi ujao. Sheria nyingi na kanunui nyingi zimebana upinzani. Frankly speaking upinzanihauna future TanzaniaMods mumezoea kunipiga ban jee choko kama huyu post yake inakubalika hapa jamvini kwa kuwa ni mccm?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachekesha kweli. Asilimia 98 ya wanachadema ni wasaka tonge waliotokea ccm. Sasa unatueleza nini. kajifunze kujenga hoja bado haujashawishi watu
Yupo LissuKwa sasa chadema hakuna potential mgombea urais 2020/2025! Hakuna.
siyo wote waliyokwenye hili forum ni mirupo. Wengine baba zako na unaongea na baba yako overKakuchekesha eh, hebu cheka Kwa sauti dada tusikie kicheko chako.
Nakumbuka A.L. Mrema wakati akiwa waziri wa Mambo ya Ndani aliwapa wapinzani wakati mgumu na alifanya maandalizi kuliboresha jeshi la Polisi ili liwafanyie kweli upinzani wakati wa uchaguzi mkuu wa 1995,mabomu yake aliyonunua kwa mbwembwe yalianza kutumika dhidi yake kule Moshi wakati huo akiwa NCCR , na aliyeongoza mashambulizi hayo akiwa Omar Mahita wakati huo akiwa RPC wa Kilimanjaro. Alichimba shimo akaingia mwenyewe. Hawa maccm wanajiona kama wana hati miliki ya kutawala ndiyo maana wanatunga sheria mbovu kuwabana wapinzani bila kutafakari kuwa kuna uwezekano nao siku moja wakawa upande huo.Hivi wachangiaji mnakumbuka sheria imetungwa na bunge mwaka Jana . ili uweze kugombea ni sharti uwe umedumu kwenye chama miaka miwili kabla ya uchaguzi. Chama dola kiliumizwa sana na ENLowassa, hawataki tena hali ile ijitokeze. Ile fedheha inatosha ,kura 6 mil. Upinzani haiwezi kuruhusiwa na chama dola tena. Membe akihama Leo hana sofa ya kugombea chadema( bado miezi 12uchaguzi ujao. Sheria nyingi na kanunui nyingi zimebana upinzani. Frankly speaking upinzanihauna future Tanzania
Nyerere tunamurenzi mdomoni lakini kila legacy aliyoacha mzee wetu tumemzika nayp. Tunamuenzi kwa mapambio ila kwa vitendo ni zero
Tujiandae kisaikolojia kuchapa mzigo bila upinzani. Ingawa upinzani ilikuwa raha sana. Wamemalizana na upinzani sasa wanashughulikana wao kwa wao. Aliyesherehesha kuwa atawabatiza kwa moto yeye ni Wa kwanza kubatizwa kwa njia hiyo atakapohojiwa na kamati ya maadili. Namuombea mzee wetu sukari ispande roho ikaacha mwili, kama hayati Kolimba. Saikolojia na fiziolojia ya mwili huwezi kuwekwa kitimoto na watu wengi kwa muda mrefu mwili ukabaki salama . mwili utaitika kwa kupanda pressure au sukari kama una moja ya uognjwa huo
Chama dola kimeshakula nyama ya MTU , dhambi hakiwezi kuiacha. Ni mwendo mdundo kama hawana upinzani watauunda hata kati yao wao kwa wao na MTU atasulubiwa tu. Wanapopitisha sheria kwa mbwembwe wajue zinagusa wote. Zamani ccm ikikuona na unaamimni umeonewa ulikuwa unaenda upinzani na unaata ubunge ,sasa hivi marufuku hadi miaka 2 ipite. Mtego Wa panya wanatengeneza na wao unawanasa . Safi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu rudia kusoma post yako niliyokujibu uone kama unastahili kuheshimiwa. Unapowakashifu wana Chadema kwa maneno ya kejeli ulitegemea waseme asante? Ukitaka uheshimiwe anza kujiheshimu wewe na heshimu wengine automatically na wewe utaheshimiwa.siyo wote waliyokwenye hili forum ni mirupo. Wengine baba zako na unaongea na baba yako over
Wapinzani hatutawaelewa mkituletea mamluki tenaKwa mizengwe inayoendelea huko CCM kile kinachoenda kutendeka mwakani, ni wazi kwamba kuna maandalizi kabambe ya kuvuruga tena upinzani nchini. Namuona mwanadiplomasia mashuhuri 'akitoswa' na chama chake katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Nawaona CCM wanavyosuka tena mpango wa huyu nguli kuangukia upinzani na hatimaye kuwania kupewa rungu la kupeperusha bendera ya UKAWA. Nawaona baadhi ya wanaukawa wanavyotamani hili litokee, lakini nawaona wanaukawa makini wakisema safari hii ni BIG NO!
Jaribio la kuipasua CCM lililofanyika miaka kadhaa iliyopita lilifanikiwa angalau kwa asilimia nyingi. Palikosekana tu nguvu ya ziada kumalizia mpasuko huo. Hivyo jitihada ziendelee kufanyika kuona ni namna gani CCM inadhoofishwa kimikakati lakini upinzani ukihakikisha kuwa hawazibi tena tundu la panya kwa keki. Ni hayo tu kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana tunaingia front kuanza kutahadharisha, mkuuDhambi ya 2015 haiwezi kutuacha salama
Nadhani kwa mara ya kwanza Chadema nahisi wangepiga bao tukaishia kuwashangalia masalia ya Ccm kumbe hawakuwa wema.
Mtoa uzi hata mm nahisi laweza tokea tena kama la 2015
Ss hv wanajiaminisha kama Ccm wengi wanaichukia Ccm yao lkn unaweza kukuta ni Vice versa
Kuna clip moja nliona jana Membe alikuwa anahojiwa sijui star tv sikumbuki.
Km sio ya kutengenezwa basi Ccm wako kuvuruga upinzani
Na wenyewe wanaingiaga wazima wazima
Sent using Jamii Forums mobile app