leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 7 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 6 na CCM moja (1) tu
mojawapo ni
ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
ILOLO - CCM
MWANJELWA MTAA WA BANK - CHADEMA
MWANSEKWA- CHADEMA
SINDE - CHADEM
MWANSANGA - CHADEMA
KAGERA - CHADEMA (mjumbe wa serikali ya mtaa)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
Ni habari nzuri kuelekea kwenye Ukombozi, Nnauye Jr akisikia lazima ajiharishiena Mr Vasco Da Gama pori a.k.a The Explorer lazima apatwe na Oilcom kwa muda sio BP tena
mkuu hata mimi nashangaa mfano hii ya Ilolo ipo mjini kabisa sijui walikula nini ? na hii kata ilikuwa chini m/kiti wa ccm ambaye alifukuzwa baada ya kuchomewa nyumba na wananchi kwa tuhuma za uchawi
Ni upepo wa kisiasa jamaa dua yao kubwa ni uongoz wa juu cdm uparanganyike maadam MUNGU akiwa upande israel na aseme! Hekima ni kitu muhimu dr wa phd utulivu wako ndio utakuwa salama yetu vijana tulio nyuma ya cdm