CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Mbowe, Slaa, Zito, Mnyika, Lisu na wote katika top management, maliza mgogoro unaofukuta kwa busara. Wacha kuwapa faida CCM, mtachekwa sana na safari ya kuibadilisha Tanzania itaishia hapa kama CDM ikifa. Mtakuwa na deni kubwa kwa watanzania na wapenda mabadiliko.