CHADEMA maji ya shingo Sirari

CHADEMA maji ya shingo Sirari

Kimetah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
1,049
Reaction score
189
10348188_744471412254776_4870821361992997397_n.jpg
10358748_744473305587920_2903983984180403108_n.jpg
10628029_744472882254629_5496469217449429998_n.jpg
10410339_744472488921335_43104887224789465_n.jpg
10462713_744472012254716_2401945220550295806_n.jpg
Sirari mmeitosa chadema au vp?
siamini macho yangu kama ndio chadema ya UKAWA
 
Kwanza unapotosha kwanini usionyeshe mbele ya mkutano mhutubiaji anaangalia mbele kumaanisha ndiko kuna watu pia hiyo sirari huwa ni ccm na history inaonyesha hivyo sasa huamini nini sasa ???
 
Hapo mi naona hakuna siasa hapo ni yesu ni mungu tuu kwa vile ninavofahamu na mikutana yote ya chadama ni huwa nyomi
 
Wanauchungu na marehemu Chacha Wangwe, R.I.P Wangwe.
 
Maji yamefika shingoni? Kumbe soon yatafika mdomoni wayanywe
watulize roho!
 
Lakini mtu akiongea unamsikiliza kwa kumwangalia kichogo au usoni?. Naona picha zote hawajapiga kwa mbele
 
hata Lisu namuona kakata tamaa .but mtoa mada umetoa half story
 
Hao wanao hutubiwa mbona hujawaonyesha?
 
Back
Top Bottom