chachandumbaya
Member
- Nov 13, 2013
- 35
- 27
Tawi la CHADEMA Mabibo limengia kwenye mgogoro mkubwa sana baada ya kutokea pande mbili moja ikiwa ianongozwa na mwenyekiti wa tawi ambayo inataka uwazi wa matumizi ya pesa na upande wa pili unaongozwa katibu na mzee moja Kigoma na mweka hazina.
Kisa cha mgogoro ni pesa zilizokuwa za uchaguzi wa serikali ya mitaa na kutokea pande mbili hizi moja kumunga mkono Mbowe na nyingine Zitto.
Wanashutumiana kuwa kuna pesa zimetoka head office kuja kutumika kuwa maliza wafuasi wa Zitto Kabwe.
Chanzo cha habari ni ofisi ya tawi mabibo mwisho standi ya daladala ofisi ya tawi ipo kwenye kijiwe cha kahawa hapo ndipo shughuli zote hufanyika zaa chama.
Kisa cha mgogoro ni pesa zilizokuwa za uchaguzi wa serikali ya mitaa na kutokea pande mbili hizi moja kumunga mkono Mbowe na nyingine Zitto.
Wanashutumiana kuwa kuna pesa zimetoka head office kuja kutumika kuwa maliza wafuasi wa Zitto Kabwe.
Chanzo cha habari ni ofisi ya tawi mabibo mwisho standi ya daladala ofisi ya tawi ipo kwenye kijiwe cha kahawa hapo ndipo shughuli zote hufanyika zaa chama.