Sasa nataka niseme hivi, ukisoma thread nyingi huku JF (sio zote) watu wengi wanachukua mawazo yao binafsi nakuyafanya ni ya utafiti. This is typical ya wachangiaji ambao hawako sober, ambo ni wengi huku JF. Na mawazo mengi ni kuwa (1) Fisadi Lowassa anakubalika na tafiti nyingi zimeonyesha hivo (2) CCM wamepotea kwenye ulingo wa siasa au wamekuwa wakimya (3) Fisadi Lowassa ameipasua CCM katikati (4) adui ni CCM si Fisadi Lowassa.
Kwa minajili ya kuwasaidia wale ambao kwamwe hawapendi kusaidiwa (kama utakavyoona wanavyochangia), naomba niwaelekeze kwenye indicators hizi:
(a) Kama kulikuwa na tafiti yoyote iliyomuonyesha kukubalika kwa Fisadi Lowasa, tafiti hiyo ilifanyinka kipindi Fisadi Lowassa yupo CCM. Sasa kubali au kataa, backbone ya umaarufu Fisadi Lowassa ni CCM. Hamna tafiti iliyofanyika akiwa nje ya CCM. Kwa hivyo basi, kutumia tafiti za kale kuzileta katika mazingira ya sasa ni kupotoka.
(b) Kule Kenya, katika tafiti karibia zote, Raila alionekana ni mshindi wa kiti cha urais lakini haikuwa hivyo. Kwa hivyo basi, kuwa sana mwangalifu nazo, hata kama zinaonyesha Jembe-Jembeka Magufuli atashinda kwa asilimia 70.
(c) Tafiti zote zinategemea ni study sample gani iliyochukuliwa. Ukichukua sample ya waendesha bodaboda basi Fisadi Lowassa ni Rais leo hii. Sasa ukiwa ‘mfu' wa akili kama Mazombie wengi unakaribisha magonjwa ya moyo ambayo si ya lazima sana kwa sasa. Nchi bado inakupenda- tambua hilo.
(d) Kipenga cha campaign bado hakijalia. Sasa unataka CCM wajisumbue na nini sasa hivi. Kama kulivyokuwa na shamrashamra za kutolewa mwali Jembe-Jembeka Magufuli na sasa hivi ni haki ya CDM (Mazombie) kuwa na shamrashamra za mgombea wao, ambaye ni Fisadi mwenzao. Sioni kuna ajabu gani hapa. Hii ndio demokrasia.
(e ) Kama nilivyoandika huko nyuma, kupasuka kwa CCM hakupo. Bado hatujaona mpasuko huo wa viongozi au wafuasi kumfuata huyo Fisadi Lowassa huko CDM. Kama Fisadi ni true statesman, a visionary leader tungeona lukiki ya wafuasi wakimfuata. Mimi sijaona..labda mnitumie picha. Kwa MazombieCDM ni lazima umaarufu wake uje na numbers CDM, au utakuwa umaarufu wa vichwa vya habari tu.
(f) Chama lazima kiwe na misingi yake na ikitete kwa all cost. Chama will always be there, but leaders and members will come and go. Leo hii huwezi kuua misingi hiyo kwasababu ndogo tu ya kuingoa CCM kirahisi rahisi tu, na kwenda kinyume na misingi yako, kwa kuvaa gamba la ufisadi lilolivuliwa na CCM. Nakubaliana siasa ni a game of numbers, lakini kwenye siasa pia lazima uwe na realistic strategies (na sio tu a stratergy) au sio utarudi nyuma hatua mbili.
Hivo basi epuka kuiteteresha afya yako kwa kuwa REALISTIC.
Kwa minajili ya kuwasaidia wale ambao kwamwe hawapendi kusaidiwa (kama utakavyoona wanavyochangia), naomba niwaelekeze kwenye indicators hizi:
(a) Kama kulikuwa na tafiti yoyote iliyomuonyesha kukubalika kwa Fisadi Lowasa, tafiti hiyo ilifanyinka kipindi Fisadi Lowassa yupo CCM. Sasa kubali au kataa, backbone ya umaarufu Fisadi Lowassa ni CCM. Hamna tafiti iliyofanyika akiwa nje ya CCM. Kwa hivyo basi, kutumia tafiti za kale kuzileta katika mazingira ya sasa ni kupotoka.
(b) Kule Kenya, katika tafiti karibia zote, Raila alionekana ni mshindi wa kiti cha urais lakini haikuwa hivyo. Kwa hivyo basi, kuwa sana mwangalifu nazo, hata kama zinaonyesha Jembe-Jembeka Magufuli atashinda kwa asilimia 70.
(c) Tafiti zote zinategemea ni study sample gani iliyochukuliwa. Ukichukua sample ya waendesha bodaboda basi Fisadi Lowassa ni Rais leo hii. Sasa ukiwa ‘mfu' wa akili kama Mazombie wengi unakaribisha magonjwa ya moyo ambayo si ya lazima sana kwa sasa. Nchi bado inakupenda- tambua hilo.
(d) Kipenga cha campaign bado hakijalia. Sasa unataka CCM wajisumbue na nini sasa hivi. Kama kulivyokuwa na shamrashamra za kutolewa mwali Jembe-Jembeka Magufuli na sasa hivi ni haki ya CDM (Mazombie) kuwa na shamrashamra za mgombea wao, ambaye ni Fisadi mwenzao. Sioni kuna ajabu gani hapa. Hii ndio demokrasia.
(e ) Kama nilivyoandika huko nyuma, kupasuka kwa CCM hakupo. Bado hatujaona mpasuko huo wa viongozi au wafuasi kumfuata huyo Fisadi Lowassa huko CDM. Kama Fisadi ni true statesman, a visionary leader tungeona lukiki ya wafuasi wakimfuata. Mimi sijaona..labda mnitumie picha. Kwa MazombieCDM ni lazima umaarufu wake uje na numbers CDM, au utakuwa umaarufu wa vichwa vya habari tu.
(f) Chama lazima kiwe na misingi yake na ikitete kwa all cost. Chama will always be there, but leaders and members will come and go. Leo hii huwezi kuua misingi hiyo kwasababu ndogo tu ya kuingoa CCM kirahisi rahisi tu, na kwenda kinyume na misingi yako, kwa kuvaa gamba la ufisadi lilolivuliwa na CCM. Nakubaliana siasa ni a game of numbers, lakini kwenye siasa pia lazima uwe na realistic strategies (na sio tu a stratergy) au sio utarudi nyuma hatua mbili.
Hivo basi epuka kuiteteresha afya yako kwa kuwa REALISTIC.