Hawa Watu wanayoyaandika humu hawafanyi utafiti, amemuona nape na kinana wakilalamika kuhusu hotuba ya MHE: Mbowe, hajasikia polisi wakimwitaji MHE:alipoti Makao makuu ya polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi, kubwa zaidi afafanue kile kilicho azimiwa Kwenye mkutano mkuu wa chama.