KASIM MNKONDYA
Member
- Nov 23, 2012
- 20
- 5
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Kigamboni inatarajia kufanya mkutano mkubwa wa wazi siku ya Jumapili tarehe 24.03.2013 katika viwanja vya Swala.Wanachama,wadau,wafuasi na wapenda mabadiliko katika taifa hili mnakaribishwa na walio mbali basi siku hiyo nitakuwa natoa updates za kinachoendelea kwani mmojawapo wa wazalendo wa taifa hili.
Wote mnakaribishwa mana ndo mazishi ya CCM jimbo la Kigamboni.
Wote mnakaribishwa mana ndo mazishi ya CCM jimbo la Kigamboni.