OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Akiongea kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya karatu mwenyekiti wa halmashauri ya karatu bwana Lazaro amemuelezea waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kama kiongozi pekee mwenye kuthubutu na asiye na uoga katika kuchukua maamuzi kwa faida ya wananchi.
Ameyesema hayo katika harambee iliyoitishwa kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa hosteli ya chuo cha afya kinachomilikiwa na kanisa la kiinjili la kilutheri.katika harambee hiyo fedha taslimu pamoja na ahadi kiasi cha shilingi milioni mia mbili na laki nane kilipatikana 200,800,000/=.
Pamoja na bwana lazaro pia mbunge wa wilaya hiyo mchungaji Natse amemuelezea bwana lowassa kama kiongozi ambaye amechaguliwa na Mungu kwa ajili ya kuwatumikia watu wake.
Ameyesema hayo katika harambee iliyoitishwa kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa hosteli ya chuo cha afya kinachomilikiwa na kanisa la kiinjili la kilutheri.katika harambee hiyo fedha taslimu pamoja na ahadi kiasi cha shilingi milioni mia mbili na laki nane kilipatikana 200,800,000/=.
Pamoja na bwana lazaro pia mbunge wa wilaya hiyo mchungaji Natse amemuelezea bwana lowassa kama kiongozi ambaye amechaguliwa na Mungu kwa ajili ya kuwatumikia watu wake.