Ni nn maana ya vyama vingi naona umekojolewa ww, futen bac nyama vingi mbaki na ccm tu, fikiri kichwa chako acha kufikir makalio, lazima tuonyeshe upinzan
naona zile tambo zako za kujisifia zimeisha baada ya kipondo cha kalenga. unaandika kwa upole mpaka unatia huruma. pole we kibavicha.Kwann wajitoe wakati ni siasa
We vipi bhana?
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!
Hii ni fursa ya kukijenga chama na kufanya kampeni kwa chaguzi zijazo. Ni kweli kuwa hatuendi kushinda lakini kwenda ni muhimu. Kupanda mbegu na kuvuna ni tofauti. Ukiona uvivu kwenda kupanda kwa kuwa hutarudi nyumbani na kitu, tutakutambua wakati wa mavuno. Twendeni Chalinze kupanda mbegu!chama kinashiriki uchaguzi kinapokua na uhakika wa kushinda tu? nijuavyo ni fursa ya chama kujitangaza na kunadi sera zake. inawezekana kabisa matunda ya CDM kushiriki chaguzi hizi yasionekane sasa lakini wakawa wamejenga msingi imara miaka michache ijayo!
Chadema sikio la kufa halisikii dawa watapeleka mpaka matreni wenyewe mtaona.
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!
Wanachofanya CCM ni kujenga chama kuelekea uchaguzi mkuu 2015, jimbo la Chalinze siyo issue kwa CCM Dr.Slaa na Mbowe wanalijua hilo...CCM nayo kwanini inatumia mapesa mengi kiasi hicho kwa kampeni ambayo wanajua ushindi ni 99.99%?
..badala ya sare za chama, kofia, na mabango ya kampeni, kwanini wasiwanunulie wanafunzi uniforms, vitabu, na madaftari??
cc Simiyu Yetu, THE BIG SHOW, Ritz
True story: kuna mshkaji Mmalaysia alimuga mkewee anaenda China. Mke akamsindikiza hadi airport, kumbe jamaa kaingia na kutoka kisha akazama kwa mchepuko. Sasa jamaa amenasa kwenye apartment ya mchepuko hawezi kutoka maana ndege aliyoaga anasafiri nayo ndio ile iliyopotea
Ni ushauri kulinda pesa za sacoss
Wanachofanya CCM ni kujenga chama kuelekea uchaguzi mkuu 2015, jimbo la Chalinze siyo issue kwa CCM Dr.Slaa na Mbowe wanalijua hilo.
Wenje mwenyewe kule Mwanza hawana hamu nae! Na uchaguzi ukiitishwa sasa hivi hana chake tena!
Sio kwamba cdm wanashiriki chaguzi hizi kwa ajili ya kushinda bali ndio njia pekee kwa wakaskaz kugawana ruzuku za chama na kusingizia gharama za uchaguzi