CHADEMA jimboni kwa Mulugo!

CHADEMA jimboni kwa Mulugo!

hopaje

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
1,726
Reaction score
1,218
line up mwambigija(mzee wa upako),jidawaya kaza moyo opolukwa,wananchi wanalalamika mulugo kula fedha za mfuko wa jimbo,huku hakuna barabara,shule hazijengwi,na kikao cha ndani ccm aliwaambia chadema wakija wapeni kesi hata ikiwezakana semeni wamuua albino....kiukweli jimboni kwake yuko hoi pembejeo za kilimo zimechakachuliwa na kuuzwa mbozi,hosptal haina hata plasta...source mi mwenyewe nipo huku najione!
 
mzee wa kufoji vyeti
Mzee wa zimbambwe+zanzibar=tanzania
 
Kwani Mulugo ni wa Mbozi au Chunya fafanua mtoa mada tukuelewe
 
line up mwambigija(mzee wa upako),jidawaya kaza moyo opolukwa,wananchi wanalalamika mulugo kula fedha za mfuko wa jimbo,huku hakuna barabara,shule hazijengwi,na kikao cha ndani ccm aliwaambia chadema wakija wapeni kesi hata ikiwezakana semeni wamuua albino....kiukweli jimboni kwake yuko hoi pembejeo za kilimo zimechakachuliwa na kuuzwa mbozi,hosptal haina hata plasta...source mi mwenyewe nipo huku najione!

Kwani Mulugo ni wa Mbozi au Chunya fafanua mtoa mada tukuelewe

Mkuu mutabilwa, sasa hapo afafanue nini? mbona iko wazi kabisa! Mtoa mada amesema pembejeo za kilimo jimboni kwa Mulugo zilichakachuliwa zikauzwa Mbozi, huelewi nini hapo? kwani lazima ziuzwe kwenye jimbo zilimochakachuliwa?
 
nimemuelewa ila napenda anipe ufafanuzi na hasa watakapofika eneo moja liitwalo mkwajuni kwani nililala gesti moja(inaaminika ya mulugo) na nje ya gesti amechimba kisima cha maji na alikifungua akisema ni ela zake kumbe ni za mfuko wa jimbo naomba tumuumbua huyu Mbunge kwani uwezi kuchimba kisima kwako halafu useme cha wananchi tena kwa pesa zao za kodi, naomba mwambigija sema hayo na pia pata ushaidi zaidi kwa wananchi
 
Mkuu mutabilwa, sasa hapo afafanue nini? mbona iko wazi kabisa! Mtoa mada amesema pembejeo kilimo za jimboni kwa Mulugo zilichakachuliwa zikauzwa Mbozi, huelewi nini hapo? kwani lazima ziuzwe kwenye jimbo zilimochakachuliwa?

Wizara nyeti inaongozwa na aliyefeli kusoma a e i o u
 
Jamaa hana soni. Tulikuwa Mby day tunashangaa jamaa zee kabisa liko Form I kumbe alikariri STD7!!
 
Haya ndo madhara ya kupeana vyeo kwa kujuana/kupata uongozi kwa kutoa rushwa!!
 
jamani huyu mzee mwaka huu atapata strock, namshauri ajiuzulu akalee familia
 
Back
Top Bottom